Kwanini tunaokunywa Balimi tunadharaulika sana?

Kilimo kwanza cha ajabu unaambiwa hizo bia ni za wakulima...KISUKUMA maana ya BALIMI ni MSUKUMA
 
Ina jina baya, hata sura ya chupa ake haidamshi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…