Kwanini tunaokunywa Balimi tunadharaulika sana?

Kwanini tunaokunywa Balimi tunadharaulika sana?

mjomba unazaraulika wewe mbona balimi ndo chama la wana hadi masister du wanapiga huku kitaa, na watoto wazuri tu.usawahuu sio wa kuchunguliana unakunywa nini
 
Ukipiga gongo unaongezea na balimi ili unukie harufu ya bia . Labda bei yake ndogo ndio kudharauliwa .
 
eti kwa nini tunaokunywa balimi tunadharaurika sana tena utakuta baa nyingine ata izo balimi awauzi

wakati balimi ni bia kama bia nyingine alafu zina kiwango kizuri
Japo mimi situmii kilevi chochote ila niliwahi kusikia kuwa hiyo bia ina harufu sana mdomobi kama ukiinywa na husababisha hata mdomo kunuka kesho yake
 
Back
Top Bottom