Premia inatembea kwa ngapi kwani mkuu??Mazoea tu,,kwa sasa pia umesahau premio mkuu,kila kijana anaenza maisha ananunua hilo hilo
Hii ni dawa murua kabisa. Ila inabidi na wewe uwe vizuri,tatizo wengi tunalingana au wamekuzidi hawanunui hadi waone mtu kanunua.Ukitaka wakomesha nunua Kitu asichoweza nunua
Kama kochi nunua za Danube, TV nunua ya milioni 10
Gari nunua Brand New
16 kurudi chini hadi 13Premia inatembea kwa ngapi kwani mkuu??
Ndio ndioUsed from Jp?
Yani zipo nyingi hadi zinakera mkuu,wengi wameuza brevis wakanunua allion na hizo premio kwa mbali na raumUnakuta foleni gari kumi zimeongozana IST....
fashion znatuua sanaUnamkaribisha mtu ndani kwako anaanza tv nzuri umenunua wapi na mimi nikainunue kochi zuri na mimi lazima nilinunue, mwingine utasikia nguo hii nzuri umenunua wapi na mimi niinunue. Hii pia iko kwenye magari ndio maana utaona ikiingia brevis kila mtu brevis, ikija crown kila mtu crown sasa hivi vanguard si wanawake si wanaume kila kona vanguard.
Tatizo nini ushamba, hatuna taste au hatuna ubunifu au uvivu wa kufikiri?
MkuuUkitaka wakomesha nunua Kitu asichoweza nunua
Kama kochi nunua za Danube, TV nunua ya milioni 10
Gari nunua Brand New
Kwenye nguo ndio kichekesho, watu wanavaa mitumba kukwepa sare sare mauaMkuu
wenye mkwanja wa ku afford hizo item kibongo wanatafutwa kwa torch. Wengi wapo sare sare hata kwenye vipato ndio maana wanaigana hata bidhaa za kununua.
Labda hujaelewa, soma vizuri. Kuna,watu hawanunui kitu mpaka waone mtu mwingine kanunua. Ndio hao akikuona hata na viatu anataka umuelekeze duka akavinunue.Dah...mimi sioni tatizo lolote hata kama wote tuna vitu vya aina moja (brand)....Ila siwezi nunua Vanguard tu kwasababu RRONDO amenunua wakati najua kabisa yeye ni ofisa wakati mimi ni mkulima ...nitanunua Kishen.....Cha msingi...Je tunanunua vitu kuwaonesha watu wengine? AU Tunanunua vitu kujiweka tofauti na wengine? AU Tunanunua vitu kukidhi mahitaji yetu?🙂