1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
Hilo ndio jibu chiefuepuka msongamano, kama shida yako inaweza kutatulika kwa ATM unaimalizia hapo, kama inataka kwenda kwa teller utaenda kumuona teller
Wezi sana mitandaoMi sipendi kabisa kutuma pesa kwa simu
Mimi ukiona nimekutumia pesa kwenye simu ujue:Kitu kizuri umeweka na kiasi,
Imagine unatoa elfu kumi wanakata 1000, ambayo ni 10% Hii si ni balaa kabisa na bado wadau wanakomaa huko huko
Nimejifunza kitu...sisi watu weusi hatuna hesabu za hela.Hili la kusema watu wengi hudhani kuwa benki ni kwa ajili ya watu fulani ni sahihi kabisa. Ndio maana watu wengi hawana account za bank. Lakini watu hao wengi wasio na bank accounts wana miliki simu na wanapokea na kutuma fedha kupitia accounts za simu.
Iko hivi, watu wengi hawana taarifa sahihi juu ya matumizi ya accounts za bank. Kuna rafiki zangu siku moja walikua wanang'ang'ania kuwa wataendelea kutumia CRDB kwa sababu ipo kila mahali...mimi nikawaambia sitaitumia sababu muda mwingi naishi Dar es Salaam. Je, ukienda mkoani? Nikawajibu, ni mara ngapi kwa mwaka naenda mikoani? Na nikienda hata robo mwaka haifiki narudi hapa hapa. Zaidi ntakaa week 2 tena za likizo. Kuna bank kuhamisha pesa toka bank kupeleka Tigo/voda ni bure ila kila mwisho wa mwezi unakatwa sh 250/- hata kama wamepandisha siku hizi, basi tuseme 500/- bado ni nafuu sana.
Lakini kwa nini utumie simu? Wakati kuna visa?
Kuna bank kutoa kwa visa unakatwa sh 3,000 bila kujali kiasi unachotoa. Wakati tigo kutoa laki 2 ni elfu 5. Kuna kipindi mzee alikua anaumwa kalazwa hospitali, na mimi ndio nilikua caretaker. Kuna gharama kule hospitali haziko kwenye bima, sasa ndugu na jamaa wakawa wanataka wanitumie pesa kwa simu, haki nakwambia niliwapa account yangu ya bank. Mtu akihoji niende kwa bank muda huu sijui bla bla namwambia nenda kwa wakala niwekee juat like unavyoenda kuweka tigopesa.
Ilisave sana gharama za kutolea pesa. Maana nikienda ATM navuta laki 2 mpaka 4 kwa buku wakati tigopesa ningetakiwa niwaachie elfu 10 hapo.
Cha msingi ni taarifa.
Hii sio hypothesis, imeshakuwa proven kwa tafiti zilizofanywa na wengine wanaotafiti kuhusu poor economics.
Iko hivi ni rahisi kujua kuwa gharama za kutuma na kutoa fedha kwa kutumia simu, iwe M-pesa, Tigo pesa nk ni gharama zaidi kuliko kutumia benki i.e ATM ambazo zimetapakaa nchini.
Kwa maeneo kama Dar, ATM zimetapakaa maeneo mbalimbali na zaidi benki nyingi zinatumia mitandao mikubwa kama VISA, MASTARCARD, MAESTRO nk ambayo haikupi ulazima wa wewe kutafuta benki yako ili kutoa fehda.
Mbali na hayo bado watu wamekuwa wakitumia zaidi mitandao ya simu ambayo ina gharama kubwa za huduma zao kuliko benki, Je shida iko wapi.
Wewe kama mdau unayetumia simu kufanya miamala, Je unadhani ni kipi kinakufanya ukae humo ukizingatia gharama ni kubwa?
Nadhani watu wa benki wanaotengeneza mifumo ya masoko wanaweza kuwa na njia nzuri ya kuweza kujua namna gani ya kuwanasa watu ambao wanatumia simu badala ya benki ambazo zina gharama nafuu.
Hypothesis: Watu hawatumii benki kwa kuwa benki zinaonekana kama ni za watu fulani wenye hadhi na fedha nyingi (It can be tested)
Au ni kuwa watu huwa hawana muda wa kujua kuhusu gharama za masuala ya kifedha.
Signed
Oedipus
Hoyo 1000 ni sawa na nauli ya kwenda kuitafuta ATM ilipoKitu kizuri umeweka na kiasi,
Imagine unatoa elfu kumi wanakata 1000, ambayo ni 10% Hii si ni balaa kabisa na bado wadau wanakomaa huko huko
Hapa ndio jibu la mada lilipo. "Convenience"Wezi sana mitandao
Mimi ukiona nimekutumia pesa kwenye simu ujue:
1. Gharama ya mimi kuja na kukupatia plus gharama ya muda ntakaotumia kuja ni kubwa kuliko gharama ya mimi kutuma na wewe kuitoa.
Au labda wewe huko uliko hakuna namna nyingine ya kupata huduma.
Yaani mara mtandao uko chini,Benki na ATM zao hawaaminiki.
- ATM hazijatapakaa kama mawakala kila sehemu kama unavyosema
- Changamoto ya kutafuta usafiri kuzifikia hizo ATM zilipo ni kubwa
- Kutotabirika kwa uwepo wa huduma kwenye ATM ni jambo jingine, unatoka mbali unafika ATM mbovu gharama kutafuta nyingine ni kubwa
- Ni rahisi kushikana shati na wakala kama fedha haijaenda kuliko ATM
Convenience kwa hapa Dar hujaniambia bado. Wakala wa banks wapo kila kona. Hivi unadhani kwanini banks ziliweka mawakala? ConvenienceHapa ndio jibu la mada lilipo. "Convenience"
Na si watu wengi wenye bank account. Kuna shughuli nilishafanya na watu 20 mikoani huko. Kati yao waliokuwa na account bank ni wawili tu lakini kila mmoja ana mzunguko wa pesa wa kuzidi sh. 300,000 kwa mwezi.
Tozo za kutoa pesa kwa wakala wa benki sidhani kama zinatofautiana sana na hizi za makampuni ya simu. Wacha nilifuatilie hili kwanza.Convenience kwa hapa Dar hujaniambia bado. Wakala wa banks wapo kila kona. Hivi unadhani kwanini banks ziliweka mawakala? Convenience
Tofautiana sana. Tena sana. Kutoa laki 2 ni elfu 5 kwa simu. Wakati ATM au wakala wa bank haizidi elfu 2.Tozo za kutoa pesa kwa wakala wa benki sidhani kama zinatofautiana sana na hizi za makampuni ya simu. Wacha nilifuatilie hili kwanza.
Hivi ulishajiuliza ni waTZ wangapi wana bank akaunti na ni wangapi wana simu?Kiongozi, Chukulia mazingira ya Dar, Jinsi ambavyo ATM ziko maeneo mengi tofauti tofauti, plus unaweza kutoa hela kwa mawakala wa huduma za kifedha kama fahari Huduma na Nmb wakala
Mi sipendi kabisa kutuma pesa kwa simu