Kwanini tunapokuwa Safarini hasa kwenda Mikoani Abiria wa Kiume na wa Kike huwa hatuoneani Aibu tunapojisaidia Vichakani?

Kwanini tunapokuwa Safarini hasa kwenda Mikoani Abiria wa Kiume na wa Kike huwa hatuoneani Aibu tunapojisaidia Vichakani?

Haaahaaaa mna maneno
Aibu haziendi likizo,huwa tunazisafirisha siku moja ama mbili kabla ya safari....yaani kama safari ni jumamosi,inabidi aibu zisafiri alhamisi ama ijumaa

Baada ya hapo tukisafiri jumamosi tunakutana nazo tukifika tunakoenda
 
Hii ni fursa kwa wawekezaji kuwekeza kwenye high way. Kujenga Break points ziwe na petrol pumps, vyoo vya wanawake na wanaume, migahawa parking spaces ikiwezekana na bed and breakfast.

Uwekezaji huu utazalisha ajira nyingi sana
Mimi sijajua kwa njia nyingine. Ila ya dar moro zipo sehemu special kwa kuchimba dawa. Kuna vyoo vya wanawake na wanaume na wanakua wanauza na vyakula. Yani issue ya vichakani nimeshangaa kua bado ipo
 
Ruti ndefu bado IPO na madere aka suka hawapendi kupita break points kwa sababu abiria wanajivutavuta, pori ni rahisi kuwapeleka mchakamchaka
Mimi sijajua kwa njia nyingine. Ila ya dar moro zipo sehemu special kwa kuchimba dawa. Kuna vyoo vya wanawake na wanaume na wanakua wanauza na vyakula. Yani issue ya vichakani nimeshangaa kua bado ipo
 
Una Akili sana ( very Intelligent ) na najua unajua kabisa kuwa nakupenda japo naweza kuwa leo nimevaa Kanzu nyingine ( tofauti ) ila Mimi ni Shekhe ni yule yule tu uliyemzoea, lakini unaniudhi tu kwakua upo CHADEMA badala ya kuja huku Kwetu CCM. Bado sijachoka Kukushawishi na najua utahamia tu CCM muda si mrefu.
I love you too 💖
 
Je, ni Saikolojia gani ambayo huwa ipo tu kwa Sisi Wanadamu ( Abiria ) hasa pale tuwapo Safari za Masafa marefu ambapo unaweza kukuta Abiria wa Kike tena ni Mrembo kabisa ( Sista Duu ) lakini wakati wa kujisaidia Haja Ndogo Vichakani ( Kuchimba Dawa ) huwa wanakuwa hawana Aibu ambapo huchojoa Nguo zake na Kuinama Kukojoa zake huku akikukodolea Wewe Mwanaume na kuna wakati anaweza hata Kukuambia Mwambie Dereva asiondoe Gari Kwanza namalizia Kukojoa.

Muwapo katika Mabasi haya ya Mikoani Aibu zetu huwa zinaenda Likizo ya wapi?
ni kawaida mahali ambapo hakuna option ya ni lazima uuvuae uso usio kuwa na aibu..ni sawa sawa wanoenda kwa wagagnga wanaambiwa waoge pamoja na ni watu wamekuatana hapo hapo ,
 
1. Ni kwa sababu wote hatujuani
3. Aibu huja kwa mtu unaye fahamiana naye..
Na ndio maana hata tunapotaka kuchepuka huwa tunatafuta Guest House za mbali na maeneo yetu ambako tuna uhakika wahudumu wa huko hawatufahamu
 
ni kawaida mahali ambapo hakuna option ya ni lazima uuvuae uso usio kuwa na aibu..ni sawa sawa wanoenda kwa wagagnga wanaambiwa waoge pamoja na ni watu wamekuatana hapo hapo ,
Mhhh huu utafiti wako kiboko asee kwamba waoge pamoja hii haijalishi jinsia yako au??
 
Bado mnasafiri na magari yasyo na vyooo? poleni sana mikoa gani hiyo? kwa kina nkapa huko?

sisi huku Bongo-Moshi full self container Mobile, kula menu zetu za kisasa Baby take away milima ya Korogwee! ama Mombo, Himo waweza zurura kidogo, kushangaa mpaka wa kenya Holili,

Lami tupu ilo kolezwa maji mabichi hakuna vumbi. Mungu atupe nini. makabila yote x-mass ni kwenda kutalii tu, kufurahia hizi huduma jamani!

Mleta mada pita huku ujionee mambo usijicheleweshe bana.
 
Kama ni hivi kujambiana kuonyeshana mishedede Moshi- Dar -Arusha sitoki
 
Back
Top Bottom