Kwanini tunasoma? Kwanini tunajikweza kwenye madaraka? Ona sasa Ndugai, Bashiru na Kabudi hata sikukuu za mwaka mpya hawaonekani

acha dharau,mtu ni mtu
 
Ndungai anajengewa nyumba, yeye na mkewe anaendelea kula mshahara wa speaker maisha yake yote na mkewe nusu ya mshahara wa speaker. Kila baada ya miaka 5 anabadilishiwa gari mbili.
Mkuu kwa jinsi walivyijipanga hata usipomwona jua anakula mema ya nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…