Kwanini tunatumia majina ya bandia?

Kwanini tunatumia majina ya bandia?

Hi,
Hivi nauliza kwanini wengi wetu huku jukwaani hatujitambulishi kiuhalisia na kuweka picha mbona kule insta na fb mnajiachia.huku mnaogopa nn au hii n blog ya kutoa siri zako na za wengine ndo mana hatutaki kujuana.me leo taanza kuweka picha halisi
Ataeniiga w kwanza namtumia JF money chap
weka sasa
 
CCM Sio watu wazuri wale..
ukiwaambia ukweli wanakunyoosha
wanakutoa kucha..

mimi ni evans greatdeal hapa jf...lamwanzo sahihi
la mwisho ni mtetema mbwilo..
mwingine aseme bas kma mie jina lake halisii..................
teh teh
 
SIKU nape akiamka vibaya akidai fake id account zfungwe otherwise real names mtaichukia tz
 
Hata tuwapo mashuleni huwa hatuitwi kwa majina yetu bali tunaitwa kwa majina ya baba zetu au babu zetu. Hizi ni a.k.a tunazohitaji watu watujue na kutuita hivyo, achilia mbali jina lako halisi.
 
''Kama nikijitambulisha kwa jina langu humu nitafukuzwa kazi na kupelekwa kusikojulikana''..alisikika akisema member mmoja humu!!
 
kwani majina yetu wayajua wewe? kwani picha zetu wazijua? kama bandia ni wewe bwana
 
Jamiiforums wengi ni watu wazima wenye akili zao timamu, simu kama insta na Fb unazozisema...
Yani kweli jf kuna ma great thinker hakuna vilaza na huku tunataka ideas tu sio utoto na kutaka misifa na kuonekana kama fb na insta
 
Back
Top Bottom