Rudi kwa Bππdah, kwa kweli namiss mengi sana
yaani nikifa nakufa na utamu wangu hivi hivi
Uko sahihiKuwa na girlfriend au boyfriend sio dhambi kama Mtaishi katika misingi ya dini yenu inayowaongoza ,manake Kuna watu ni boyfriend's na girlfriend na hawazini mpaka wanafikia hatua ya uchumba mpaka ndoa
Ila mkianza kutiana kabla ya ndoa kwenye huo girlfriend hapo mnakuwa mnatenda dhambi na Wala kosa haliwi kwenye kuwa girlfriend/boyfriend manake Kuna watu wanatiana na hata sio wachumba,wameoana au kuwa kwenye ugirlfriend
π€£ π€£ π€£ π₯ΉRudi kwa Bππ
Hahahππππ...basi fanya uhame hukoππ€£ π€£ π€£ π₯Ή
hatanitendea haki, yaani mie niko na 20km , yeye yuko 200km+ huko
Watakuja kusingizia magonjwa, magonjwa na mimba za zisizotarajiwa ni utashi wa akili ya mtu, huwezi kua unatembea na kila ke/me unayemuona na pia bila kutumia kinga alafu uepukane na magonjwa, lazima utapataKama kuna ukweli hiviπ€π€
nihamie wapi ? Bomba Mbili au ?Hahahππππ...basi fanya uhame hukoπ
Umenena vyema mkuuπ€Watakuja kusingizia magonjwa, magonjwa na mimba za zisizotarajiwa ni utashi wa akili ya mtu, huwezi kua unatembea na kila ke/me unayemuona na pia bila kutumia kinga alafu uepukane na magonjwa, lazima utapata
Kuna pisi za kingoni huku kali hadi sio poaπ₯,, sema nikutumie mmoja πππnihamie wapi ? Bomba Mbili au ?
miaka mitatu mbona bado ?Kuna pisi za kingoni huku kali hadi sio poaπ₯,, sema nikutumie mmoja πππ
Heheheπππ....unajuaje kama utafika kote hukoπmiaka mitatu mbona bado ?
tusubiri mpaka tar 07-03-2026, ntakua tayari kuunga via vyangu tena na mwengine
π₯Ή π₯Ή dah kwa kweli, ila ngoni mbaliHeheheπππ....unajuaje kama utafika kote hukoπ
akina nani waliishatoka kwenye hivyo vitabu!!Wenzenu walishatoka huko kwenye hivyo vitabu!,hivyo vitabu it's only brainwashing machine!.
upwiru ni mtazamo tu,kwani wewe siku umebalehe tu ulipewa K??wengi tumebalehe miaka 17 ila mwanamke tumekuja kumjua miaka 21-22.Fikiria ukae na upwiru wako toka umebalehe kisa unamsubiri wakuja kuolewanae!, what if asipopatikana.
uhalisia ni upi??kunyanduana mpaja wanaume kwa wanaume kwa kuwa miili yetu inatuagiza hivyo au kusimamia miiko na maadili ya kijamii na kidini!!!Uhalisia wa maisha haupo hivyo na ndio maana watu wanatumbukia kufanya tu then anajidanganya anatubu kesho Tena upwiru ukimkamata anafanya...
Yes na alijua kuna wapuuzi ngono watafanya ni hitaji la kwanza la muhimu la maisha,wakati haina umuhimu huo.Ni ngumu kushindana na mwili wako mwenyewe ukiamua kukupeleka unakupeleka tu.. the same God who says "Usizini" it's the same God who made you with upwiru!...
Yes,zini mpaka kidudu kirudi ndani.ila ujue kabisa hakuna faida yoyote zaidi ya kujiingiza kwenye adhabu kwa uchaguzi wako mwenyewe.And also it's the same God who made a devil!,not only that it's the one who will dump you in fire for your sins!.
the movie that starts with funny but ends thrilling staffs,like squid game.This is very crazily movie...π
Kumbe nia yako kula kimasikhara sio kuoaππ...ila ngoni mbona sio mbali huku,, ningekupa cousin wangu hapo mtwara sema mmezidi kutusema sana wamakondeππππ₯Ή π₯Ή dah kwa kweli, ila ngoni mbali
naomba usiku mchana Mungu aondoe UTI na wenzake wooote
na mimi niwe nachangia kule kula kimasihara
π π subiri ntarudiKumbe nia yako kula kimasikhara sio kuoaππ...ila ngoni mbona sio mbali huku,, ningekupa cousin wangu hapo mtwara sema mmezidi kutusema sana wamakondeπππ
πππππ...wala hata usije nimeshajua nia yako sio kuoa ni kula kimasihara ..endelea kusubiri 2026ππ π subiri ntarudi
Ukiwa na tabia ya kuchunguza maisha ya watu always kila jambo linalofanywa na binadamu utaona wanakosea .Na kama mjuavyo ukristo vitu vingi hufuata vya wazungu, Siku hizi imekuwa ni kawaida sana wazazi kujua kijana wao ana boyfriend ama girlfriend na wazazi hawana shida.
Hapo wazazi wanajua kabisa kwamba vijana wanasex ila wanaona ni sawa tu, na hii imepelekea wazazi wawe wanawapa vijana sex edication kuwaasa watumie mipira (condom), ila muda huo huo wanawahamasisha wawe wanaenda kanisani.
Hali hii huwa inaendelea hadi mtu anafika miaka 33 hajaoa, kazoea zaidi mahusiano ya ma Girlfriend na ma Boyfriend.
Ni sawa kupuuza?
Nakumbuka zamani haya makanisa ya walokole walikua wanawacheka wakatoliki na waanglikana eti kwanini wanafungisha ndoa kwa watu ambao tayari wameshazaa kwamba eti ni uzinzi lakini sikuhizi cha kushangaza sikuhizi makanisa ya walokole na wao wanafungisha ndoa mwanamke ana mimba πππyaani imekua kawaida tuUko sahihi
Lengo la uboy friend na girlfriend
Ni kutambuana tabia na kujengana kwaajili ya ndoa badae
Sema vijana wa sikuhizi wanakiuka
Wanaanza kuzagamuana