Kwanini tusiboreshe uholela wa kuzagaa fingerprints?

Kwanini tusiboreshe uholela wa kuzagaa fingerprints?

simba tupo wengi

Senior Member
Joined
Dec 23, 2019
Posts
154
Reaction score
132
Kama kuna uwezekano line na mitandao ya simu kutenganishwa ingekuwa ni vizuri sana.

Yaani anayetoa line na namba awe taasisi moja, halafu kuwe na teknolojia ya kuruhusu mtumiaji kutumia na kuhama kwenye kampuni atakayopenda wakati anapotaka kwa kutumia simu yake.

Yaani line yako uweze iregister na Tigo, Vodacom, Zantel au Airtel wakati unapotaka kwenye simu yako.

Hii ingepunguza mlolongo wa kila kampuni kuwa na fingerprint za raia wetu.
 
Ni aibu kweli, kwa Taifa lenye kujitambua kuyapa Makampuni binafsi power ya kukusanya Fingerprints za watu wake!
Yaani Taifa zima linakuwa mikononi mwa makampuni binafsi!

Ni aibu na hatari kubwa mno kiusalama!

Imagine Voda iwe na Fingerprints za wanajeshi, majenerali wa kijeshi, mapolisi, majaji, makatibu wakuu, maprofesa etc

Who knows what will happen kesho kwa data hizi kuwa kwenye database za makampuniya nje binafsi?
 
Ni aibu kweli, kwa Taifa lenye kujitambua kuyapa Makampuni binafsi power ya kukusanya Fingerprints za watu wake!
Yaani Taifa zima linakuwa mikononi mwa makampuni binafsi!

Ni aibu na hatari kubwa mno kiusalama!

Imagine Voda iwe na Fingerprints za wanajeshi, majenerali wa kijeshi, mapolisi, majaji, makatibu wakuu, maprofesa etc

Who knows what will happen kesho kwa data hizi kuwa kwenye database za makampuniya nje binafsi?
Point ya msingi hii
 
Jamaa wana fingerprints hadi za Amiri Jeshi Mkuu ... sijui ingekuaje na sisi tungekua na NUCLEAR FOOTBALL
 
Ukiwa na Fingerprints za Amiri jeshi mkuu maana yake, systems zote zinazohitaji fingerprints za Amiri jeshi mkuu au majenerali wake unaweza kuzioperate bila wao kuhusika!

Kiufupi hili zoezi la fingerprints kuchukuliwa na kampuni binafsi za nje siyo la Afya kwa nchi.

Kitu kingine, kama NIDA ina fingerprints za watu then unahitaji Voda au Tigo wawe na Fingerprints za watu wako kwa kazi gani?
 
Ukiwa na Fingerprints za Amiri jeshi mkuu maana yake, systems zote zinazohitaji fingerprints za Amiri jeshi mkuu au majenerali wake unaweza kuzioperate bila wao kuhusika!

Kiufupi hili zoezi la fingerprints kuchukuliwa na kampuni binafsi za nje siyo la Afya kwa nchi.

Kitu kingine, kama NIDA ina fingerprints za watu then unahitaji Voda au Tigo wawe na Fingerprints za watu wako kwa kazi gani?
Swali zuri
 
Unachukua bio za watendaji BOT mnafungua vaults mnabeba pesa. Nchi hii ni aibu
Ni aibu kweli, kwa Taifa lenye kujitambua kuyapa Makampuni binafsi power ya kukusanya Fingerprints za watu wake!
Yaani Taifa zima linakuwa mikononi mwa makampuni binafsi!

Ni aibu na hatari kubwa mno kiusalama!

Imagine Voda iwe na Fingerprints za wanajeshi, majenerali wa kijeshi, mapolisi, majaji, makatibu wakuu, maprofesa etc

Who knows what will happen kesho kwa data hizi kuwa kwenye database za makampuniya nje binafsi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko mwisho swali lako ni nzuri.
ila huku mwanzo makampuni ya simu yanatumika kama wakala tu.hawana access ya kuingilia hizo data zaidi ya ku link na kwenda kuapdate namba zako kwenye data za NIDA.
Ukiwa na Fingerprints za Amiri jeshi mkuu maana yake, systems zote zinazohitaji fingerprints za Amiri jeshi mkuu au majenerali wake unaweza kuzioperate bila wao kuhusika!

Kiufupi hili zoezi la fingerprints kuchukuliwa na kampuni binafsi za nje siyo la Afya kwa nchi.

Kitu kingine, kama NIDA ina fingerprints za watu then unahitaji Voda au Tigo wawe na Fingerprints za watu wako kwa kazi gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili zoezi inaelekea ni kama ule mradi wa korosho. Tunatafuta matatizo ambayo hayapo.

Zoezi la vitambulisho halijamalizika vizuri tuna dakia alama za vidole kwa uoga wetu wa kisiasa.

Kwanza ukiangalia vizuri hakuna cha kupata kwenye hili, pili ni gharama sana kwa kampuni za simu wakati wanasaidia sana kurahisisha maisha ya watu.

Lakini kibaya serikali itapunguza mapato kwenye simu kwa hili zoezi bila kupata chochote.

Kabla ya vitambulisho wenzetu wanavyofanya ni kuhakikisha kila raia ana namba binafsi ambayo ni ya siri na inatumika kila mahali.

Wenzetu mtoto akizaliwa anapewa namba na wageni wanapewa namba, kufungua account yoyote unahitaja hii namba pamoja na vitambulisho.

Namba ya mtu haitakiwi iendane na umri.

Mimi naona kabla ya kudakia simu wangehakikisha watu wote milioni 55 wana namba kwanza.
 
Hili zoezi inaelekea ni kama ule mradi wa korosho. Tunatafuta matatizo ambayo hayapo.

Zoezi la vitambulisho halijamalizika vizuri tuna dakia alama za vidole kwa uoga wetu wa kisiasa.

Kwanza ukiangalia vizuri hakuna cha kupata kwenye hili, pili ni gharama sana kwa kampuni za simu wakati wanasaidia sana kurahisisha maisha ya watu.

Lakini kibaya serikali itapunguza mapato kwenye simu kwa hili zoezi bila kupata chochote.

Kabla ya vitambulisho wenzetu wanavyofanya ni kuhakikisha kila raia ana namba binafsi ambayo ni ya siri na inatumika kila mahali.

Wenzetu mtoto akizaliwa anapewa namba na wageni wanapewa namba, kufungua account yoyote unahitaja hii namba pamoja na vitambulisho.

Namba ya mtu haitakiwi iendane na umri.

Mimi naona kabla ya kudakia simu wangehakikisha watu wote milioni 55 wana namba kwanza.
Ninavyodhani mm, zoezi la kusajili line limekuja kama njia ya kushinikiza watu kujisajili kwa ajili ya vitambulisho vya NIDA.

Kiukweli kabla ya tangazo la kuzima line kwa asiyesajili kwa kitambulisho cha NIDA, mwamko wa watu kujisajili kwa vitambulisho ulikuwa chini mno. Na yumkini zoezi lingefeli kabisa. Lakini ona sasa, milolongo kwenye ofisi za NIDA sasa hivi ni balaa.

Kwa hili, aliyeanzisha wazo hili amefaulu!
 
Back
Top Bottom