Liobite
Senior Member
- Sep 10, 2013
- 126
- 37
Habari zenu wakuu,naomba kuuliza kwamba kama nchi za wenzetu kama vile Ufaransa (french revolution),Urusi (october revolution),uingereza (Chartism&luddism etc) zilifanya mapinduzi kutokana na maonevu,dhuluma na watu kukosa mahitaji muhimu ya maisha kutokana udhaifu wa viongozi waliokuwepo madarakani,Sasa je kwanini sisi Tz tusiungane kufanya mapinduzi hayo? Nimeuliza hivi kwa sababu maonevu yamezidi mf;HESLB kutunyima mkopo na Naibu waziri wa elimu kusema tukauze mayai,kauli hii ninaifananisha na kauli ya mke wa mfalme wa russia alipowajibu waandamanaji kwa ajili ya kupanda kwa bei ya mkate (BLOOD SUNDAY)kauli ilisema hivi "IF YOU FAIL TO BUY A BREAD GO AND BUY A CAKE"Ufaransa king Louis xvi na mke wake walinyongwa kutokana matumizi mabaya ya pesa kama vile mke wake MARIE ATTOINENTE alikuwa ananunua TWO PAIRS OF SHOES EACH WEEK,Pia kodi zisizo za lazima kwa kule ilikuwa 'salt tax'head tax'nk mifano hii yote huku Tz ipo kuna kodi mbalimbali tunatozwa leo kuna kodi ya LAIN ZA SIM;Kodi hiz zinafanya nn?TUAMKE