KUDOLE CHA MWISHO
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 407
- 892
hairuhusiwi hiyo mkuu.hata samatt pia anaweza " yaani siku moja akifunga goli, anavua fulana ndani kuna zile nguo zao longsleeve wanazitangulizaga huku imeandikwa maneno mawili tu #*"visit Tanzania"*#
nadhani itakua role kubwa sana.
hata samatt pia anaweza " yaani siku moja akifunga goli, anavua fulana ndani kuna zile nguo zao longsleeve wanazitangulizaga huku imeandikwa maneno mawili tu #*"visit Tanzania"*#
nadhani itakua role kubwa sana.
Watanzania sisi ni washamba sana aiseehata samatt pia anaweza " yaani siku moja akifunga goli, anavua fulana ndani kuna zile nguo zao longsleeve wanazitangulizaga huku imeandikwa maneno mawili tu #*"visit Tanzania"*#
nadhani itakua role kubwa sana.
nifafanulie mkuu nijifunze!hairuhusiwi hiyo mkuu.
hairuhusiwi kutangaza matangazo tofauti na ya mdhamini wa timu, kama unafuatilia wachezaji kadhaa wamewahi pigwa faini kisa kuonesha boksa zenye nembo za makampuni ambayo yanawadhamini wao binafsi wachezaji na sio timu.nifafanulie mkuu nijifunze!
hata samatt pia anaweza " yaani siku moja akifunga goli, anavua fulana ndani kuna zile nguo zao longsleeve wanazitangulizaga huku imeandikwa maneno mawili tu #*"visit Tanzania"*#
nadhani itakua role kubwa sana.
Unawaza vizur lkn,nahisi Bongozozo anaweza kuwa ni C.I.A Agent...nahisi hata kitengo wanamashaka naye ndyo maana aliongozana na Kitenge (kumbuka Kitenge ni kipepeo mweusi)
Sent using Jamii Forums mobile app