Kwanini ubake wakati unaweza kupiga punyeto?

Kwanini ubake wakati unaweza kupiga punyeto?

Escobber pablo

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2024
Posts
302
Reaction score
695
Hapa mtaani Kuna tukio limenisikitisha mno kijana etu mdogo miaka 19 anaenda jela miaka 30 kosa la kubaka niliwaonea huruma san wazazi wake.

Hivi haya matukio ya ulawiti, ubakaji pamoja na vifungo vya jela na magonjwa ya hatari kama HIV n.k, yanazidi kuiathiri jamii yetu has upande wa wanaume sana.

Pia soma: Uhalifu 2023: Zanzibar yaongoza ubakaji, Arusha yaongoza ulawiti

Hivi kati ya kupiga nyeto na kwenda jela au kupata magonjwa kama HIV, Kisonono n.k kipi bora? Siyo kwamba nahamasisha watu wapige nyeto lakini bora tu mpigie kwani hakuna sayansi iliyodhibitisha madhara yake moja kwa moja.

Wapiga nyeto wanajiepusha sana na kadhia mbali mbali jamani, mbona mimi nilipiga enzi zangu na niko sawa tu!
 
hapa mtaani Kuna tukio limenisikitisha mno kijana etu mdogo miaka 19 anaenda jela miaka 30 kosa la kubaka niliwaonea huruma san wazazi wake

Ivi haya matukio ya ulawiti, ubakaji pamoja na vifungo vya jela na magonjwa ya hatari kama HIV n.k, yanazidi kuiathiri jamii yetu has upande wa wanaume sana

Ivi kati ya kupiga nyeto na kwenda jela au kupata magonjwa kama HIV, Kisonono n.k kipi bora
Siyo kwamba nahamasisha watu wapige nyeto lakini borea tu mpigie kwani hakuna sayansi iliyodhibitisha madhara yake moja kwa moja.
Wapiga nyeto wanajiepusha sana na kadhia mbali mbali jamani
Mbona mimi nilipiga ezi zangu na Niko sawa tu
Kwa kuepuka jela, kwanini usijamiiane na watu wazima hadi ubake?

Hakuna mashanhazi au single mother hapo mtaani hadi kubaka vitoto?

Nyeto haiwezi kuonesha athari sahizi. Ukubwani utakuja kuona. Game haliendi kabisa. Kimoja tu chali.
 
Kwa kuepuka jela, kwanini usijamiiane na watu wazima hadi ubake?

Hakuna mashanhazi au single mother hapo mtaani hadi kubaka vitoto?

Nyeto haiwezi kuonesha athari sahizi. Ukubwani utakuja kuona. Game haliendi kabisa. Kimoja tu chali.
Bora hicho kimoja chali upo uraiani na una afya njema, kukiko kua na nguvu za kiume gerezani au manguvu kibao halafu unameza njugu daily.
 
Kwa kuepuka jela, kwanini usijamiiane na watu wazima hadi ubake?

Hakuna mashanhazi au single mother hapo mtaani hadi kubaka vitoto?

Nyeto haiwezi kuonesha athari sahizi. Ukubwani utakuja kuona. Game haliendi kabisa. Kimoja tu chali.
Hiyo ni kwako tuu Mkuu watu wanapiga show vizr tu
Usiangaike kuridhisha mwanamke haridhiki!!
 
Kupiga punyeto, hakuwezi kuwa mbadala wa kujamiana, Mungu hajakosea, kumuumba mwanamke, akiwa na maumbo tofauti yanayowavutia wanaume.
Lakini kwanini ubake, Dunia ya leo ukijipanga kumtaka mwanamke unampata ndani ya dakika kumi tu.

Hivyo kubaka ni upumbavu, na punyeto ni wazo la kilofa
 
Enyi wana wa dunia, heri apigae punyeto kwa kuwa hana shari na mtu, ni raha zake mwenyewe. Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
 
Enyi wana wa dunia, heri apigae punyeto kwa kuwa hana shari na mtu, ni raha zake mwenyewe. Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
Iwe iwavyo, mpenzi wangu hawezi kuwa sabuni, akili za punyeto ndiyo hizo hizo zinazopelekea watu, kubaka mbuzi, kondoo na hata kuku.
 
Watu wanaropoka tu hapa wanawake wapo wengi kwa nini upige nyeto wakati ukilifata toto la mtu linakukataa wewe uliye single mpiga nyeto anaenda kumkubalia play boy au mume wa mtu ukiuliza wanakwambia mwanamke anapenda ushindani wa vyama vingi kwa nini usipige nyeto usogeze siku!!
 
Watu wanaropoka tu hapa wanawake wapo wengi kwa nini upige nyeto wakati ukilifata toto la mtu linakukataa wewe uliye single mpiga nyeto anaenda kumkubalia play boy au mume wa mtu ukiuliza wanakwambia mwanamke anapenda ushindani wa vyama vingi kwa nini usipige nyeto usogeze siku!!
HAKUNA ANAEWEZA KUKUZUIA KUSHIKIANA WAPENZI WAKO SABUNI, NA MKONO WAKO.

MAANA KUMSAWISHI MWANAMKE, KUNAHITAJI UTILIMILIVU WA KIUME, AMBOKO NI KUJIAMIN NA KUJITAMBUA.
 
Back
Top Bottom