Kama topic inavyojieleza. Naamini wapo baadhi ya magolikipa wanapata clean sheets nyingi si kwa ubora wao bali kutokana na mfumo mzuri wa ulinzi unaotumika na timu zao, pamoja na umahiri wa mabeki. Kwa mtazamo wangu ingekuwa bora zaidi kama magolikipa wangekuwa wanapimwa ubora wao kwa uwingi wa saves walizofanya. Tujadili.
Kumaliza mechi bila kuokota mpira nyavuni.
Kazi ya forward ni kufunga magoli na kutengeneza nafasi za kufunga. Kazi ya golikipa ni nini kama sio kuzuia Mpira usiingie golini? Sasa kama yupo golini mpaka mechi inaisha timu yake imeshinda 5-0 huku yeye akiwa hajapigiwa shuti hata moja lililomlazimisha azuie lisiingie golini anakuwa kafanya kazi gani? Mbona tukiangalia vipindi vya summary za ligi mbalimbali kwa wiki au kwa msimu mzima tunaoneshwa best goals na best saves? Kwanini tusioneshwe best clean sheets?Kwanini forward anapimwa ubora wake kwa kufunga magoli, ukipata jibu haoa utaweza kujijibu na hilo.
Anapanga ukuta vzr... Halafu hawezi kukosa shuti on target season nzimaKuna magolikipa wanamaliza mechi hawajapigiwa shot on target hata moja, na wengine wanatoka wamefungwa 5 lakini kafanya saves 10 hapo nani anakuwa kafanya kazi.
Kazi ya forward ni kufunga magoli na kutengeneza nafasi za kufunga. Kazi ya golikipa ni nini kama sio kuzuia Mpira usiingie golini? Sasa kama yupo golini mpaka mechi inaisha timu yake imeshinda 5-0 huku yeye akiwa hajapigiwa shuti hata moja lililomlazimisha azuie lisiingie golini anakuwa kafanya kazi gani? Mbona tukiangalia vipindi vya summary za ligi mbalimbali kwa wiki au kwa msimu mzima tunaoneshwa best goals na best saves? Kwanini tusioneshwe best clean sheets?