Kijuram
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 513
- 374
Kama topic inavyojieleza. Naamini wapo baadhi ya magolikipa wanapata clean sheets nyingi si kwa ubora wao bali kutokana na mfumo mzuri wa ulinzi unaotumika na timu zao, pamoja na umahiri wa mabeki. Kwa mtazamo wangu ingekuwa bora zaidi kama magolikipa wangekuwa wanapimwa ubora wao kwa uwingi wa saves walizofanya. Tujadili.