Kwanini uchaguzi wa Tanzania ni world news?

Kwanini uchaguzi wa Tanzania ni world news?

Naton Jr

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2016
Posts
7,867
Reaction score
19,250
Huwa najiuliza Tanzania yetu ni nchi ya kawaida na tupo kivyetuvyetu kutokana na utamaduni wetu ni very conservative na lugha yetu ya mambo yote haijulikani to the outside world lakini utashangaa namna tupo effective kwenye worlds headlines

Kuna jambo la kawaida tu linaweza kutokea Tanzania hata mtu wa Tabora asilijue lakini uki Google utashangaa ni hotnews Cameroon, Ghana, Tunisia 🤔

Magufuli hajawahi kuongea English (kama alishawahi ni chini ya mara 2) lakini habari za Magufuli lazima uzikute CNN, BBC, ABC, AL Jazeera, NFP, Yahoo's, New York Times, The Guardian UK, SABC yaani kila media kubwa ulimwenguni

Kuna habari za kawaida za Magu utazikuta zimererpotiwa Jamaica, Malaysia, Australia almost everywhere, sa huwa nashangaa why?

Kilichoninya nifungue thread ni hili la jana kutoka kwa Pompeo kutweet kuhusu uchaguzi wa Tanzania

Nimeshangaa sana kuona intersections za hiyo tweet kupindukia tweet zake zote alizotweet kwa miezi miwili nyuma nilizozikagua, hapa nilikua tu naangalia number of comments, TRs na likes

Katika tweets zake zote za miezi zaidi ya miwili nyuma, tweet iliokua na comments nyingi zaidi ni comments 1k, RTs, nyinyi zaidi ni 2k na likes nyingi zaidi hazifiki hata 10k

Lakini katika kipindi cha muda mfupi baada ya kutweet kuhusu Tanzania ghafla the whole tweet got on fire na bado imekua retweeted na quoted na users wengi waliopo verified, serikali nzima ya Marekani imetweet kitu ambacho sijaona kwenye tweets zake nyingi

Pia nashangaa sababu Africa kuna nchi zaidi ya 5 zipo kwenye uchaguzi na zingine watu wanachinjana mpaka ninavyoandika hii thread lakini Hakuna mamlaka ya Marekani ilio concerned at all, kwa nini uchaguzi wa Tanzania unafuatiliwa sana na magharibi kuliko uchaguzi wowote Africa?

Kwanini serikali ya Marekani ipo close sana na mambo yetu kiasi hiki? Ikumbukwe ni Pompeo huyu huyu aliempiga ban Makonda kuingia US

Ikumbukwe pia pamoja na watanzania kusheheni mitandaoni lakini bado tupo online kwa nguvu ya VPNs

Screenshot_20201103-054220~2.png
 
Tuna msaada yao

Makelele ya balozi wao yamewafikia

Magufuli alituahadi uchumi wa viwanda na kujitegemea,miaka mitano imepita bado madeni yanazidi,akopaye ni mtumwa wake akopeshaye!
 
Yote unayotafakari yanaweza kuwa majibu. Kutegemeana tu na credibility ya data ulizonazo ktk kuverify hayo majibu
 
us kashaonja maumivu kutoka Tanzania
agoa &symbion &masharti yao ya mikopo na sera ya industrialisation &kujitegemea (win win situation asaiv haiepukiki)
Tanzania ni model state kwa nchi nyingi africa wanaogopa asije kuwaambukiza wengine!!
raw material nyingi duniani znatoka subsahara ujue!!
 
af usfkir labda wame side na upinzani nope!! wanaagenda zao ila wanatumia hii situation kuzipush na kushinikiza
 
Teteteh, nyie mnatishia interest za Marekani kwa kuminya demokrasia.
Mtaochinjiwa baharini tu hamna namna.
 
Mengi yaja tu, pamoja na hao vijana toka msumbiji tayari Kesha tia nanga.
 
Kumbuka Zama za Kenyatta na ICC ,akawatishia baba lao na " look East policy",were, wacha tu.
Alshabab wakatinga hadi Nairobi kwa mpigo, husitake jua.
Leo hii mna miradi ya wachina pamoja na kutokukubali demokrasia ya kimarekani basi wacha tu,yetu macho.
 
Huwa najiuliza Tanzania yetu ni nchi ya kawaida na tupo kivyetuvyetu kutokana na utamaduni wetu ni very conservative na lugha yetu ya mambo yote haijulikani to the outside world lakini utashangaa namna tupo effective kwenye worlds headlines

Kuna jambo la kawaida tu linaweza kutokea Tanzania hata mtu wa Tabora asilijue lakini uki Google utashangaa ni hotnews Cameroon, Ghana, Tunisia [emoji848]

Magufuli hajawahi kuongea English (kama alishawahi ni chini ya mara 2) lakini habari za Magufuli lazima uzikute CNN, BBC, ABC, AL Jazeera, NFP, Yahoo's, New York Times, The Guardian UK, SABC yaani kila media kubwa ulimwenguni

Kuna habari za kawaida za Magu utazikuta zimererpotiwa Jamaica, Malaysia, Australia almost everywhere, sa huwa nashangaa why?

Kilichoninya nifungue thread ni hili la jana kutoka kwa Pompeo kutweet kuhusu uchaguzi wa Tanzania

Nimeshangaa sana kuona intersections za hiyo tweet kupindukia tweet zake zote alizotweet kwa miezi miwili nyuma nilizozikagua, hapa nilikua tu naangalia number of comments, TRs na likes

Katika tweets zake zote za miezi zaidi ya miwili nyuma, tweet iliokua na comments nyingi zaidi ni comments 1k, RTs, nyinyi zaidi ni 2k na likes nyingi zaidi hazifiki hata 10k

Lakini katika kipindi cha muda mfupi baada ya kutweet kuhusu Tanzania ghafla the whole tweet got on fire na bado imekua retweeted na quoted na users wengi waliopo verified, serikali nzima ya Marekani imetweet kitu ambacho sijaona kwenye tweets zake nyingi

Pia nashangaa sababu Africa kuna nchi zaidi ya 5 zipo kwenye uchaguzi na zingine watu wanachinjana mpaka ninavyoandika hii thread lakini Hakuna mamlaka ya Marekani ilio concerned at all, kwa nini uchaguzi wa Tanzania unafuatiliwa sana na magharibi kuliko uchaguzi wowote Africa?

Kwanini serikali ya Marekani ipo close sana na mambo yetu kiasi hiki? Ikumbukwe ni Pompeo huyu huyu aliempiga ban Makonda kuingia US

Ikumbukwe pia pamoja na watanzania kusheheni mitandaoni lakini bado tupo online kwa nguvu ya VPNs

View attachment 1618398
Wanaogopa msije waambukiza baadhi ya Nchi za Africa kujitambua
 
Back
Top Bottom