Kwanini UDOM wamepandisha Direct Cost?

Kwanini UDOM wamepandisha Direct Cost?

WaituWaitu

Member
Joined
Aug 15, 2012
Posts
41
Reaction score
1
Nashindwa kuelewa kwa nini UDOM wameamua kupandisha gharama za direct cost kutoka 239000 hadi 410000 kwa wanafunzi wanaondelea except college of health science amnbao wenyewe wamepandishiwa hadi 4610000.

Mwenye kujua sababu anijuze.
 
Nashindwa kuelewa kwa nini UDOM wameamua kupandisha gharama za direct cost kutoka 239000 hadi 410000 kwa wanafunzi wanaondelea except college of health science amnbao wenyewe wamepandishiwa hadi 4610000.

Mwenye kujua sababu anijuze.

wamebuni source of income kwa kumbana mtoto wa mkulima,dah! Wana udom poleni sana hii ndio Tz kisiwa cha amani.
 
Hata kwa graduate hvo2 nahs kna mkono wa mtu chuo cha serikal hakiwez pandsha ada kias hicho
 
Nani atarekebisha, na unaposema mtarekebisha unamaanisha tangazo lilikosewa au kitu gani unamaanisha
 
chuo cha kata hicho na mabo ya kikata pia. Hawana jipya and the issue is they are not systematic at all
 
Back
Top Bottom