kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Sababu walizozitoa za kwanini wamtunuku Rais MWINYI hazitoshi kabisa. Eti Wanampa tunzo kwa kuwa Waziri wa Ulinzi na kushiriki vema katika kazi za kimataifa!!! looh!! tuzo kama hiyo si ingeenda kwa Mkuu wa nchi na Makamu wake walioruhusu nchi ishiriki kazi za kimataifa?
Wazungu hawana cha bure hata kidogo (no free lunch), wanataka nini kwetu, hasa Zanzibar?
Wazungu hawana cha bure hata kidogo (no free lunch), wanataka nini kwetu, hasa Zanzibar?