Uta Uta
JF-Expert Member
- Feb 2, 2016
- 3,740
- 8,751
Habari wana jamvi,
Nikiingia kwenye mada, moja ya sababu kuu za ugonjwa wa figo ni kutokunywa maji. Kwa mazingira haya tunayoishi nadhani kila mtu ni shahidi kwamaba wanawake hawapendi sana kunywa maji, wao hupendelea kunywa vinywaji vingine kama soda nk ikiwa ni mbadala wa maji na wengine hunywa maji mara moja kwa kiasi kidogo.
Lakini wahanga wakubwa wa ugonjwa wa figo ni wanaume (ingawa hakuna takwimu katika hospitari zetu, ila uzoefu unaonesha hivyo), je kwanini iwe wanaume zaidi kuliko wanawake? Nadhani inaweza saidia nasi wanaume kupunguza maambukizi kama majibu ya kitaalamu yakipatikana
Nikiingia kwenye mada, moja ya sababu kuu za ugonjwa wa figo ni kutokunywa maji. Kwa mazingira haya tunayoishi nadhani kila mtu ni shahidi kwamaba wanawake hawapendi sana kunywa maji, wao hupendelea kunywa vinywaji vingine kama soda nk ikiwa ni mbadala wa maji na wengine hunywa maji mara moja kwa kiasi kidogo.
Lakini wahanga wakubwa wa ugonjwa wa figo ni wanaume (ingawa hakuna takwimu katika hospitari zetu, ila uzoefu unaonesha hivyo), je kwanini iwe wanaume zaidi kuliko wanawake? Nadhani inaweza saidia nasi wanaume kupunguza maambukizi kama majibu ya kitaalamu yakipatikana