Labda nijaribu kukuelewesha tu kwa uelewa wangu mdogo (note mi sio mfanyakazi wao) ni lazima uende na barua ya kuacha/kuachishwa kazi ili kutoa taarifa ya kusimamisha malipo ya michango yote kupitia jina la mwajiri wako halafu kitu kingine cha kuelewa ni kwamba zile hela hazilipwi ovyo km wengi wanavyoelewa maana kuna mtu akiacha/kuachishwa kazi anakimbilia kule waweze kumlipa mafao yake. Watanzania tunachotakiwa kuelewa zile hela ni maalum tu kwa malipo ya baada ya kustaafu ukiona umelipwa ujue tu utu umetumika kulipwa kutokana na hali ya maisha yetu ya kitanzania maana kuna wengine hulamimika pasipokua na uelewa wowote.