Kwanini ukiajiri Mtanzania huwa hafanyi kazi kwa uaminifu

Kwanini ukiajiri Mtanzania huwa hafanyi kazi kwa uaminifu

mwanyaluke

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2015
Posts
704
Reaction score
2,435
Kwenye haya maisha hakuna namna kazi zako zote wewe mwenyewe kuzifanya ,soo unahitaji wasaidizi, nimesoma trend ya wafanyakazi wangu aisee kama hakuibii lazima awe ni mvivu, nimeajri sasa nimechoka nimeanza kuajiri watu wasio watanzania ndio at least naona mambo yanaenda japo kwa tabu
 
Kama hauna muda wa kusimamia biashara zako nakushauri hio pesa kahonge.
Chanzo cha watumishi wengi kuwa masikini ni kukopa na kuweka ndugu,jamaa zao kwenye biashara zao kwa sababu hawana muda.
Wengi wameambulia majuto
 
hapo watanzania ukute ulikuwa unawalipa kidogo wamekuja wageni umewapa mshahara mnono!.

Mkuu swala la udokozi lipo sehemu nyingi sio Tanzania tu!, shida uaminifu ulishakufa kwasababu hata nchini keki wanakula waliyonayo karibu!, kwenye biashara yako tafuta mbinu zakudhibiti udokozi vile uwezavyo ila kuumaliza hilo sahau!!.
 
Kwenye haya maisha hakuna namna kazi zako zote wewe mwenyewe kuzifanya ,soo unahitaji wasaidizi, nimesoma trend ya wafanyakazi wangu aisee kama hakuibii lazima awe ni mvivu, nimeajri sasa nimechoka nimeanza kuajiri watu wasio watanzania ndio at least naona mambo yanaenda japo kwa tabu
Naomba ajira kiongozi.
Nakuahidi nitafanya kazi kwa bidii, utii na nidhamu.
Hata ya kujitolea tu.
 
Kwenye haya maisha hakuna namna kazi zako zote wewe mwenyewe kuzifanya ,soo unahitaji wasaidizi, nimesoma trend ya wafanyakazi wangu aisee kama hakuibii lazima awe ni mvivu, nimeajri sasa nimechoka nimeanza kuajiri watu wasio watanzania ndio at least naona mambo yanaenda japo kwa tabu
Asilimia takribani 70 ya Watu weusi wote kabisa hapa duniani Wana viwango vidogo Sana vya Uaminifu.
Kukosekana kwa Uaminifu kwa sasa ni tatizo kubwa sana katika Jamii zetu
 
Tumeshalishana sumu zimetuingia sasa zinafanya kazi kwenye vizazi vyetu
 
Uaminifu anautoa wapi wakati mshahara ni kiduchu, No Incentives
We ungeweza bila kuiba..?
 
Kampuni nyingi za wabongo ubabaishaji mwingi.
 
Back
Top Bottom