Umefanya la maana sana kibaha inakua sana bosskimsboy , nina nyumba kule, ni kwangu lkn nimehama niko Kibaha .......( ile sifa mbaya ya Mbagala and the like places around) tena kongowe, mbali kabisa na city centre. But I am comfortable with Kongowe rather than being at Mbagara!
Ila ukiwa sehemu za kibaha usinunue ndani ndani, nunua barabarani! tena nunua kiwanja kuanzia sq m 2000 not less than that.....................kiwanja kikubwa ujinafasi!
Ijenge mgeninani tuone. Ukitaka kiwanja huku tuwasilianeKwanini hivi huwa hata ujenge ghorofa mjengo wa milioni 200 wa kuishi Chamazi, mmbande, mbagala hadi Vikindu bado tu itaonekana ni kama umechezea hela? Au umejenga sehemu isiyo faa au lazima itaonekana ina kasoro?
Maana utaskia mtu anasema "daaah mjengo mkali ila upo mbagala' "Mjengo mkali kasoro upo vikindu". "Nyumba nzuri hivi ukaamua kujenga huku?"
Hata ujenge namna gani kuna walakini tu utakuwepo machoni au ni mindset za watu?
Huko najenga nyumba yangu ya tatu ila ya kupangishia tu sijui kwanini mimi mwenyewe nilishindwa kuweka makazi huko nikabanana huku Goba na Kimara
Kuna kamindset na mimi nakaonaga. Mtu yupo radhi aende bunju huko au kibaha huko ila sio hapo Chamazi.
Yaani hata ujenge vipi huko kuna ulow class flan hivi utaonekana tu! Sijui ni kwanini na itakwisha vipi!
Pwani hiyokimsboy , nina nyumba kule, ni kwangu lkn nimehama niko Kibaha .......( ile sifa mbaya ya Mbagala and the like places around) tena kongowe, mbali kabisa na city centre. But I am comfortable with Kongowe rather than being at Mbagara!
Ila ukiwa sehemu za kibaha usinunue ndani ndani, nunua barabarani! tena nunua kiwanja kuanzia sq m 2000 not less than that.....................kiwanja kikubwa ujinafasi!
Social colour tu. Mana hata kunduchi nimepaona uswaz kuliko kijichiYale maeneo sijui yana tatizo gani
Issue ni mind set..!! Hebu fikiria yale mafuriko yanayotokeaga huko kunakoonekana ni ushuani, halafu linganisha na kijichi..!!Kwanini hivi huwa hata ujenge ghorofa mjengo wa milioni 200 wa kuishi Chamazi, mmbande, mbagala hadi Vikindu bado tu itaonekana ni kama umechezea hela? Au umejenga sehemu isiyo faa au lazima itaonekana ina kasoro?
Maana utaskia mtu anasema "daaah mjengo mkali ila upo mbagala' "Mjengo mkali kasoro upo vikindu". "Nyumba nzuri hivi ukaamua kujenga huku?"
Hata ujenge namna gani kuna walakini tu utakuwepo machoni au ni mindset za watu?
Huko najenga nyumba yangu ya tatu ila ya kupangishia tu sijui kwanini mimi mwenyewe nilishindwa kuweka makazi huko nikabanana huku Goba na Kimara
Kuna kamindset na mimi nakaonaga. Mtu yupo radhi aende bunju huko au kibaha huko ila sio hapo Chamazi.
Yaani hata ujenge vipi huko kuna ulow class flan hivi utaonekana tu! Sijui ni kwanini na itakwisha vipi!
Huwa tunakutana nao humo njiani, utawasikia GARI YA MKOPO..!!! Mtu hata hakujui lakini anatoka na conclusion hiyo juu yakoHii ni kawaida hata wasiokuwa na gari atakuambia "PASSO" ni gari ya kishamba,!
Kwa namna ulivyoandika haiwezakani ukawa una nyumba kokote.
Hakuna mwenye nyumba mwenye mawazo ya kifala fala!
Mwamba kimsboy, mi nilidhani unawasema wengine, kumbe wewe ni ndumila kuwili..!!! Kwenye uzi huu umejifanya kuuliza, kumbe una uzi umeuanzia unapachukia kweli kweli Mbagala. Pitia hapa chini uone jinsi ulivyo ndumila kuwiliKwanini hivi huwa hata ujenge ghorofa mjengo wa milioni 200 wa kuishi Chamazi, mmbande, mbagala hadi Vikindu bado tu itaonekana ni kama umechezea hela? Au umejenga sehemu isiyo faa au lazima itaonekana ina kasoro?
Maana utaskia mtu anasema "daaah mjengo mkali ila upo mbagala' "Mjengo mkali kasoro upo vikindu". "Nyumba nzuri hivi ukaamua kujenga huku?"
Hata ujenge namna gani kuna walakini tu utakuwepo machoni au ni mindset za watu?
Huko najenga nyumba yangu ya tatu ila ya kupangishia tu sijui kwanini mimi mwenyewe nilishindwa kuweka makazi huko nikabanana huku Goba na Kimara
Kuna kamindset na mimi nakaonaga. Mtu yupo radhi aende bunju huko au kibaha huko ila sio hapo Chamazi.
Yaani hata ujenge vipi huko kuna ulow class flan hivi utaonekana tu! Sijui ni kwanini na itakwisha vipi!
Hukohuko tena mimi nanunua hummer H3 naipimp vya kutosha na naiwekea antilag za maana kila nkidondoka kitaan kila raia inatambua jamaa wa Hummer kaingia, km haitoshi naiwekea personalised number plate, MBAGALA1 au CHAMAZI1 au VIKINDU1 kulingana na jina la eneo husika, ili wenye kuongea sasa ndo wabwabwaje vizuri.Kwanini hivi huwa hata ujenge ghorofa mjengo wa milioni 200 wa kuishi Chamazi, mmbande, mbagala hadi Vikindu bado tu itaonekana ni kama umechezea hela? Au umejenga sehemu isiyo faa au lazima itaonekana ina kasoro?
Maana utaskia mtu anasema "daaah mjengo mkali ila upo mbagala' "Mjengo mkali kasoro upo vikindu". "Nyumba nzuri hivi ukaamua kujenga huku?"
Hata ujenge namna gani kuna walakini tu utakuwepo machoni au ni mindset za watu?
Huko najenga nyumba yangu ya tatu ila ya kupangishia tu sijui kwanini mimi mwenyewe nilishindwa kuweka makazi huko nikabanana huku Goba na Kimara
Kuna kamindset na mimi nakaonaga. Mtu yupo radhi aende bunju huko au kibaha huko ila sio hapo Chamazi.
Yaani hata ujenge vipi huko kuna ulow class flan hivi utaonekana tu! Sijui ni kwanini na itakwisha vipi!
[emoji23][emoji23]Hukohuko tena mimi nanunua hummer H3 naipimp vya kutosha na naiwekea antilag za maana kila nkidondoka kitaan kila raia inatambua jamaa wa Hummer kaingia, km haitoshi naiwekea personalised number plate, MBAGALA1 au CHAMAZI1 au VIKINDU1 kulingana na jina la eneo husika, ili wenye kuongea sasa ndo wabwabwaje vizuri.