Wang Shu
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 2,562
- 3,715
Siku 2 mfulizo nimeokota pesa lakini jinsi nilivyostuka na mapigo ya moyo kwenda mbio nimeshangaa sana. Siku ya 2 nimeokota pesa zaidi ya siku ya kwanza.
Kuna mtu amenambia kwa sababu hazikuwa zangu kwa hiyo nilipo okota nikahisi hatia ndio maana nikastuka na kuogopa.
Kuna mtu amenambia kwa sababu hazikuwa zangu kwa hiyo nilipo okota nikahisi hatia ndio maana nikastuka na kuogopa.