Kwanini ukiota umekojoa kitandani unaamka umekojoa kweli?

Kwa umri wako kama una uwezo wa kuwa hapa kama member mwenzetu na bado unakojoa kitandani nenda kamuone mtaalamu wa afya ya ubongo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pana binti aliota anajifungua alipoamka nzi walikuwa wana randa randa eneo la kitandani
 
Kama una tabia hiyo, omba usiote ukiwa ugenini
 
Lakini ukiota umekota pesa ukiamka åhuzioni hizo pesa. Hapo ndipo huwaga najiuliza kila siku.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
 
Lakini pia uzuri ni kwamba ukiota unamkaza mtu lazima ujio wa wazungu ukuamshe
 
Tena usiombe ukaota unajisaidia kwenye choo Cha kukaa wakati kwenu kuna choo Cha shimo[emoji1] [emoji1]
 
Kwahiyo ukiota umegegedwa mkuu asubhi vip unajikuta umeloa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…