Kwanini:Ukithubutu kusema ukweli baadhi mambo hapa JF uzi wako unafutwa

Deadbody

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2015
Posts
4,274
Reaction score
6,595
JF wanatulazimisha tuweke nyuzi zinazopendwa na Mods tu

  • Wasipojirekebisha watapoteza watu wengi sana.
  • Wanatulazimisha tujadili mapenzi na na umbeya ila ukiweka kitu ukagusa maslahi ya mtu fulahi kwa nia nzuri kabisa wanafuta!
  • Ukiweka link uzi wako unafutwa
  • Ukitukana uzi wako unafutwa
Hayo ni baadhi ya mambo yanayoweza fanya uzi wako ukafutwa,
Wakuu tujaribu kutaja vitu vinavyoweza kufanya uzi ukafutwa

Tiririka
 
Sasa Mods wa Jf kwanini wameamua kufunga nyuzi zingine za FX baada ya Mhusika kufika? Yake ikaachwa
 
Hasa ukigusa maslahi ya JF, hawachelewi, JF bhana utafikili nao ni wale wasiojulikana.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Inategemea na ukweli wenyewe. Sasa wewe ukija kuandika thread umemgegeda fulani hata kama ni ukweli unategemea hio thread itaachwa humu?
 
Hii mada kwangu ni sawa na pilipili ya shamba hainiwashi kiivyo ninamaanisha hayajawahi nikuta hayo. Ngoja nijifungie geto na Nuru wangu nitarejea baadaye.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…