Saint_Mwakyoma
JF-Expert Member
- Jun 8, 2019
- 865
- 1,208
Kwenye maisha tunayoishi kuna changamoto nyingi tunazipitia . Changamoto hizo nyingine hutupandisha kutoka sehemu moja na kutuweka kunako nafasi fulani na nyingine huturudisha nyuma kabisa kwenye nyanja mbalimbali kiuchumi,kibiashara, kimahusiano na hata kiimani
Kiini kikubwa haswa cha changamoto hii ya kurudishwa nyuma huwa ni kudanganywa kibaya zaidi sio tu sisi binafsi muda mwengine , jamii nzima , ukoo ,umoja fulani na hata taifa pia huwa tunapitia kudanganywa (kutapeliwa,kulaghaiwa,kusalitiwa nk)
Sasa swali linakuja kwanini ukubali kudanganywa?
Kila mtu anaweza akawa na mbinu zake binafsi za kumsaidia kugundua yupo kwenye mtego wa kudanganywa au la.
Embu tusaidiane mbinu hizi za kukataa uongo uongo wa kutukwamisha kwenye nyanja mbalimbali au shuhuda (experience) jinsi kudanganywa kulipo kukwamisha au kukurudisha nyuma kimaendeleo fulani .
" fool me once shame on you, fool me twice shame on me,its your fault to be fooled again"
Kiini kikubwa haswa cha changamoto hii ya kurudishwa nyuma huwa ni kudanganywa kibaya zaidi sio tu sisi binafsi muda mwengine , jamii nzima , ukoo ,umoja fulani na hata taifa pia huwa tunapitia kudanganywa (kutapeliwa,kulaghaiwa,kusalitiwa nk)
Sasa swali linakuja kwanini ukubali kudanganywa?
Kila mtu anaweza akawa na mbinu zake binafsi za kumsaidia kugundua yupo kwenye mtego wa kudanganywa au la.
Embu tusaidiane mbinu hizi za kukataa uongo uongo wa kutukwamisha kwenye nyanja mbalimbali au shuhuda (experience) jinsi kudanganywa kulipo kukwamisha au kukurudisha nyuma kimaendeleo fulani .
" fool me once shame on you, fool me twice shame on me,its your fault to be fooled again"