Kwanini uliamua kujiunga JF?

Mm jamii nilikuja kutafuta mademu lakini mpaka sasa sijapata.
 
Taja zako kwanza ndo nasi tutakujibu.
 
1. Kupata Habari na zilizo na ubora.
2. Kutafuta mrembo wa maisha ila bahati nzuri, niliona wote ni mambo safi wenye magari tu.
Hapo nikabadili gia angani.
 
Mmoja wapo uliyevurugika n wew.....haya majibu yananifurahisha sana.....
Huku watu n rahs MTU kumwambia mwenzake et "Huna akili" utafkr unamlea MTU huyo
Sema mm sina akili ... Hafu ww dgo ntakupasua ... Ulza wenzako ...hivi ulnilipa buku ya kujiunga. . Kwel wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…