Kwanini ulinipa penzi kama hili na sasa silipati tena? Najuta

Kwanini ulinipa penzi kama hili na sasa silipati tena? Najuta

never Se me

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2018
Posts
702
Reaction score
1,009
Sijui Wewe Unaishi Wapi Labda sehemu Ya Kishua, Uko Kwenu Munakosa Vibe La Uswahilini,
Unajua Maisha Ya Uswahilini Wewe Ukiachana Na Misosi Ya Tofauti Kama Miguu Ya Kuku Viazi Viwili Na Mitomatoes, Supu Ya Mapupu , Kuna Videmu Vyetu, Vichula Vyetu, Vinchenchede, Viswaswadu.

Unajua Nini Uku kwetu Tuna Itana Mamamtu, Au sio Chura Wako Nae Ana Kuita Babamtu...Vidada Flani Vina Chuchu Msumali Akikumbatia Anakutoboa Kifua,,Vitako Vidogo dogo Afu Mda Wote Vimevaa Della Na Chupi..
Wenyewe Wanakuambia Sio Shida Zetu Kumnyima Dyudyu Baba Mtu Akati Ananizingatia...Aloooho Afu Vinapenda Kuzaaa ivo....

Bhasi Bhana Leo Acha Nikupe Story Ya Ka Manzi Kangu Apo Mabibo Kakuitwa Zai Mnuko..Unajua Kwanini Mnuko Manzi Alikuwa Na Alufu Flani Ivi Kama Kachumbali Yenye Binzali..
Zai Alikuwa Anapenda Game Uyo Sasa Nilipokuwa Nakaa Wapangaji Tulikuwa Wengi Mida Ya Mchana Inakuwa Ngumu Kweli Kupitisha Manzi..

Weeee Zai Wangu Yeye Alikuwa Aogopi Kuingia Ata Watu Wawepo Utasikia Kanaingia Ndani Uku Kanasema Jamani Leo Naenda Kukumbatiwa Haloooh...

Tuachane Kidogo Na Zai Mnuko Sababu Ilikuwa Mwaka 2016 Iyo. Uanajua Kwanini Nimekupa Hi story, Jana Iyo Katika Harakati Zangu Za Uzaji Wa DAWA ZA NGUVU ZA KIUME Ni Mizizi Ambayo Imesagwa.

Nilipigiwa Simu Niende Magomeni Mteja Wangu Wa Mda Kidogo Aliniambia Niende Kwake. Nikajiuliza Ajapata Matokeoa Mazuri Nini.
Lakini Sijawahi Pata Matokeo Mabovu Toka Kwa Wateja Wangu Wote,Uwa Wanashukuru Sana Nimewarudishia Guvu Zao Na Sasa Wanazichapa Kweli kweli.
Usitoke Bado Story Ya Zai Mnuko Sijamaliza Subiri Kidogo ..Nimefika Zangu Magomeni Jamaa Kanilibisha Adi Ndani,

Nilimkuta Mzee Pale Ndani Jamaa Kanitambulisha Ni Baba Ake Mdogo ,Basi Jamaa Akaniambia Lengo la Kuniita Nikuniuliza Baba Yake Mdogo Anaweza Tumia Dawa Na Yeye Sababu Anamiaka 60+ .Nikacheka Kidogo Father Na Yeye Ajachoka Kuzichapa "Anaweza Tumia Ni Dawa Ya Mitishamba Sio Chemicals " Sija Sahau Turudi Kwa Zai Mnuko
Sasa Wakati Natoka Kwa Jamaa, Apa Magomeni Mapipa Hi Njia Ya Kwenda Tandale Napigiwa Oni Na Gari Aina Ya Toyota Ist, Vioo Vinashushwa Kutazama Ni Zai Mnuko Aloooho..
Kumbuka Ni Mwaka 2016 Tuko Tuachane Ndio Tuna Kutana Leo.

Zai Mnuko "ingia Kwenye Gari Wewe Kajamaa "

Basi Story Zikawa Nyingi Uku Tukitazamana Aibu Kidogo, Zai Mzuri Mwenye Now Anajipuliza Unyunyu Mnuko Aupo Tena.
Nika Mtazama Shavuni Bado Zai Alikuwa Na kovu Jeusi. APA nataka Nikuambie Kwanini Zai Nakovu Jeusi shavuni Ni Kama Kidoti Ivi.
Ilikuwa Ivi .....Tunarudi Mwaka 2016..Mtaani Kulikuwa Nashughuri Au Kigoma Usiku Iyo Vigoma Vina pigwa,
Mi Nipo Zangu Tu Getto Nimechoma Zangu Udi..Gafla Kudo Mwanangu Sana Uyu Akaja Kuniita

Kudo "Oya Wee Chura Wako Zai Ana Bong'oa Uku Kwenye Kigoma "

Kufika Kwenye Kigoma Nakuta Watu Wamezungusha Duara Afu Songs Lipigwa

" We Kumbe Unataka, Na Unacheza Kama Utaki ×3
Basi Vua Tuone Kama Kweli Unatakaa ×2"

Nafika Nakuta zai Yupo Katikati Ya Duara, Kwa Asila Nikaingia Pale Nikamshika Mkono Adi Ghetto, Bhana Wee Kufika Ghetto Zai Kavimba Ugomvi Vurugu..
Nika Msukumia Kitandani,,pandisha Della Lake Kazi Kazi Ikaanza..
Show Ilipigwa Ukutunapigana vyombo Ghetto Vinavunjwa Uku Tunakiwasha... Zai Akanipasulia Sahani Ya Udongo Kichwani
Namimi Nika Mchoma Na Udi Shavuni Na Ndio Kovu Jeusi La Zai Shavuni Lilivyo Patikana...

Nikili Tu Uwa Natamani Sana Kupiga Game La Namna Hi Mnapiga Show Uku Mnagombana Kuna Vibe Flain ivi.....Wakati Nakupa Kisa hiki Tiyari Zai Akanifikisha Sinza Kijiweni Nikashuka Yeye Shwaaaaa Na Ka IST kake

Copyright [emoji2399]
Contact 0782373183
 
Doo Una balaa wewe...

Niliwahi kupiga shoo la kibabe Hadi akili ikahama Ile nimetoka nje na wenge nikaona mbwa mweusi Kwa mbali ananitazama nikauzika nikampigia jiwe...
Nikasikiaa meeeeeh! Kumbe ni mbuzi wa Bibi asalalee!!!
Ilikua soo
 
Back
Top Bottom