Kwanini umenifanyia hivi Ritha?

Kwanini umenifanyia hivi Ritha?

Hauwezi kutumia material things kumuonesha mtu nia yako..unatakiwa u express nia yako kwa maneno sio kwa vitu mkuu hapo ndo ulipofeli
Halafu material thing zenyewe ni TV , SABWOOFER, N.K...hizo ni basics need za kawaida ... bro ...kwani hutoagi sadaka mkuu ...furahi kama hajakuachia maradhi bass ...hayo mengine yote yana tafutwa
 
Halafu material thing zenyewe ni TV , SABWOOFER, N.K...hizo ni basics need za kawaida ... bro ...kwani hutoagi sadaka mkuu ...furahi kama hajakuachia maradhi bass ...hayo mengine yote yana tafutwa
Kaka niombe msamah,Yani mwanaume niwe nalilia sabwofer? Nilipita kitambo Sana kutumia Yale madude(yangu 2004)
Sawa mkuu inamaana nisameh?
 
Eti kufa na kuzikana ...yani tv na sabwoofer..ndo itufanye tuwe wa kufa na kuzikana eb kuwa serious kidgo 😂😂😂
MUNGU mkuu yupo akupe maisha marefu Sana😊😊😊 utapata tukio lako.
 
Kwenye vikao vyetu tulisha kubaliana kuwa madem wenye majina ya Ritha tukae nao mbali ... kama mimi ni mwongo basi mulizeni hata yule msanii Marlow......nasema uwongo nduguzangu (inJPMvoice)
 
MUNGU mkuu yupo akupe maisha marefu Sana😊😊😊 utapata tukio lako.
Marangapi tena mkuu ...nlisha pigwa na kitu kizoto hapa ...hii nj baada ya pombe kwisha kichwani
👇👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220716-141850_Twitter.jpg
    Screenshot_20220716-141850_Twitter.jpg
    32.9 KB · Views: 6
Kwenye vikao vyetu tulisha kubaliana kuwa madem wenye majina ya Ritha tukae nao mbali ... kama mimi ni mwongo basi mulizeni hata yule msanii Marlow......nasema uwongo nduguzangu (inJPMvoice)
🤣🤣🤣🤣 MUNGU wetu ni mwema,acha niingie kanisani nikamsee kwa MUNGU
 
Baada yakupata maumivu yakutosha kutoka kwa mzazi mwenzangu niliyezaa nae (maumivu yasiyosameeka), nikajipa muda wa mwaka na ushee nikakutana na huyu binti mrembo cheupe jirani yangu. Mwanaume nikasimamia Kila kitu kuhusu yeye nikamshauri aache kazi ya elfu 4 kwa siku abuni biashara nitampush mtaji.

Nimepush mtaji na Kila nilichokuwa nacho kwangu nikamnunulia na yeye pia, tv, home theater na vitu vyote vya kijanja nikatia chumbani kwake.

Nimepata safari ya kwenda Katoro, na yeye akapata safari ya kuhama bira taarifa. Huwa nikisafiri namuachia funguo namuamini, kumbe ana mawazo yake yakunikomesha bila Sababu.

Narudi sebule inanizomea chumbani pesa hakuna laki 460 nampigia anasema ameenda kufanya maisha yake na kubuni biashara itakayo mlipa zaidi(Yani utafikili Ile ya mwanzo mie ndio nilimshauli)

Honey mama Malaika mbona umenipa adhabu kubwa hivi? Nilikukosea Nini? Basi c Bora ungechukua pesa tu ukaniachia vitu vyangu? Au makosa ya mzazi mwenzio umeyaamishia kwangu?

Na siku nasafiri nikakuachia laki 4 hivi uoni Nia yangu ya ukweli juu yako? Nilikukosea Nini we mdada? Najitaidi nilie Ila machozi huwa hayanitoki umenifundisha kisasi nitakulipa tu.

Natamani kumuachia MUNGU Ila ndugu na marafiki zako wanajiuliza hii tabia yakuumiza wanaume wako utaacha lini? Jibu limepatikana utaacha awamu hii...mama maraika sikuachi...
 

Attachments

  • Screenshot_20220722-180513_Instagram.jpg
    Screenshot_20220722-180513_Instagram.jpg
    64 KB · Views: 9
Back
Top Bottom