Kwa hiyo zile Adds zinasababishwa na uwepo na GB WhatsApp?Shida zote za nini hahahhaha nilikua natumia hiyo nikadownload na gbinstaram niweze download zile clips nazipenda insta sim ilikua inaniletea ads sjui zinakotokea ilibidi nifute zile nikabakiwa na whatsapp ya playstore na insta yangu ndoo nafuu
mambo ya whatsapp babu na tricks zake najua unajua babuBora mi nshajizeekea. Hapa hata sijui unaongelea kitu gani.
Hapana babu, kwanza nafrah kukuona tena hapa natumai wazima nyie usifanye hivo nisameheSiku nyingi sijapata salamu wala LIKES zako... Nimwachie Mungu?
Yani sjui ni hiyo au gbinsta sababu kabla sjaweka hakukua na ads yan kuziweka sim inajisikilizia ads znakuja tu sikutaka shidaKwa hiyo zile Adds zinasababishwa na uwepo na GB WhatsApp?
Wewe umeelewa bwana, haya na mie zam yangu sasa nitokeLabda ungesema ushamaliza ndio ungeeleweka vizuri[emoji2] [emoji2]
Nimekusamehe lakini sitakusahaumambo ya whatsapp babu na tricks zake najua unajua babu
Hapana babu, kwanza nafrah kukuona tena hapa natumai wazima nyie usifanye hivo nisamehe
Vizuri sana kuja kulisemea huku. Kwa taarifa yako nimefunga hata ile status view report.......
Watsap wapo fair sanaHahahaha babe ukitoa last seen huoni ya mtu yoyote ni kama wote contacts zako zimekua zimetoa last seen pia babe
kwamba ukiweka last seen off huna tena option πππ jitetee tu ila huo ndiyo kweliHahahaha babe ukitoa last seen huoni ya mtu yoyote ni kama wote contacts zako zimekua zimetoa last seen pia babe
Sasa wewe nani anakuandaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wewe umeelewa bwana, haya na mie zam yangu sasa nitoke
okWewe inaonekana hujui kitu.
mtu akiondoa last yake hana tena uwezo wa kuangalia last seen za wenzake.
akijbu nitagSasa wewe nani anakuandaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Usijali hili ndio jukumu langu la mpenzi mtazamajiakijbu nitag
Duh babu nikumbuke kwa wena sio kwa ubaya babu lakiniNimekusamehe lakini sitakusahau
Option unaweza kuirudisha tu na s kua utaweza ona ya mtu mwengine labda uirudishe babe sijitetei jamanikwamba ukiweka last seen off huna tena option πππ jitetee tu ila huo ndiyo kweli
Najiandaa mwenyewe mimiSasa wewe nani anakuandaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nilikua sipendi kupost wassap story ukipost video mtu anawahi kuimba kuliko saut inayotoka wamefix naifrahia tuWatsap wapo fair sana
akijbu nitag
Ngoja niamini tu maana kazi yangu ni utazamajiNajiandaa mwenyewe mimi
Hahahhaa nchonganishe tu na huyo anajua najiandaaga mwenyewe siku zote kasoro jioni tu anakuchezea akili yakoNgoja niamini tu maana kazi yangu ni utazamaji