Paa
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 1,462
- 2,935
Nia yangu sio kuingilia maisha ya mtu, mimj na wasomaji wengine tunataka tu kujua kwanini umeiondoa LAST- SEEN yako whatsapp??
Mimi binafsi sijaiondoa, na wala sioni sababu ya kuiondoa.
Je, wewe umeiondoa au ipo.. Kama umeiondoa ni kwanini?
Kama ipo sihitaji kujua sababu[emoji57]
Mimi binafsi sijaiondoa, na wala sioni sababu ya kuiondoa.
Je, wewe umeiondoa au ipo.. Kama umeiondoa ni kwanini?
Kama ipo sihitaji kujua sababu[emoji57]