mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Akina Nyerere ndio walikuwa waanzilishi wa Non Aligned countries !!Mzee hii Au ya sasa ni kiziwi na bubu maana kipindi cha OAU kina Nyerere wangesema jambo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akina Nyerere ndio walikuwa waanzilishi wa Non Aligned countries !!Mzee hii Au ya sasa ni kiziwi na bubu maana kipindi cha OAU kina Nyerere wangesema jambo.
Stop supplying arms to Ukraine vita vitaisha haraka sana ! Keep on supplying arms to Ukraine vita vitaendelea mpaka vita vya Nyuklia !!Wenye maamuzi na hii vita ni G7; wengine watakuwa wanapiga kelele tu
Ukraine = mchuma janga hula na wakwao !!Nchi nyingi za Afrika ziliamua kutopiga kura azimio la kuilaumu Russia katika UN. AU haitaki kufungamana na upande wowote. Vile vile mwanzo wa vita Ukraine walikosea kuwaondoa Waafrika kutoka ndani ya treni zinazohamisha watu nchi za jirani. Wakajaza wazungu na hata mbwa nafasi iliyopatikana.
Don't worry time will tell. Continue prayingNinyi ndiyo manabii wa uwongo. Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Biblia haisomwi na kutafsiriwa kama kitabu cha hadithi za kale.
Very true factStop supplying arms to Ukraine vita vitaisha haraka sana ! Keep on supplying arms to Ukraine vita vitaendelea mpaka vita vya Nyuklia !!
Kwa hiyo unataka kyiv ianguke mikononi mwa shetani Putin sio?...Stop supplying arms to Ukraine vita vitaisha haraka sana ! Keep on supplying arms to Ukraine vita vitaendelea mpaka vita vya Nyuklia !!
Sisi huku tunazihofia hizo nyuklia zao tu !!Kwa hiyo unataka kyiv ianguke mikononi mwa shetani Putin sio?...
Kuvamia nchi ya mtu kisa tu wewe una nguvu haikubaliki....
Wacha inyeshe tujue panapovuja....
Marekani na NATO walishaivamia Iraki mpaka wakamkamata Rais wa Nchi hakuna mtu alienda kuwasaidia wairaki ! Wakaenda tena kuivamia Libya wakamkamata Rais wa Libya hakuna mtu aliyekwenda kuisaidia Libya ! Wakaenda tena kuivamia Afghanistan na kuiondoa serikali na wakaiweka serikali yao! Hakuna mtu yeyote aliyeingilia kati ule ugomvi !! Mpaka hapo unaonaje ?? Mrusi amefanya mara moja tu mbona zogo limekuwa kubwa sana ??!!Kwa hiyo unataka kyiv ianguke mikononi mwa shetani Putin sio?...
Kuvamia nchi ya mtu kisa tu wewe una nguvu haikubaliki....
Wacha inyeshe tujue panapovuja....
Wengine hawapaswi kufanya hicho ni yeye tu ndo ana ruhusa ya kufanya!!!Marekani na NATO walishaivamia Iraki mpaka wakamkamata Rais wa Nchi hakuna mtu alienda kuwasaidia wairaki ! Wakaenda tena kuivamia Libya wakamkamata Rais wa Libya hakuna mtu aliyekwenda kuisaidia Libya ! Wakaenda tena kuivamia Afghanistan na kuiondoa serikali na wakaiweka serikali yao! Hakuna mtu yeyote aliyeingilia kati ule ugomvi !! Mpaka hapo unaonaje ?? Mrusi amefanya mara moja tu mbona zogo limekuwa kubwa sana ??!!
Mbabe wa Dunia !!Wengine hawapaswi kufanya hicho ni yeye tu ndo ana ruhusa ya kufanya!!!
Ulisikia wapi mawazo ya.......... Yakasikizwa?????Kwanini AU haitoi neno lolote kuhusu yatokeayo kati ya Ukraine na Russia?
Je, haisikilizwi?
Je, haioni umuhimu?
Je, hayawahusu?
Je, ni kawaida kwao?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Africa ni bara lisilojitambua, hakuna nchi Africa inaweza kujiendesha yenyewe bila misaada toka nje, yaani sisi waafrica hapa Duniani ni sawa na mtu asiyeishi kwa shemeji - hata chumvi ikizidi kwenye mboga utavumilia huna namna, ukinyenyua domo tu utaambiwa kamshurutishe mkeo kwako bata wewee !!Kwanini AU haitoi neno lolote kuhusu yatokeayo kati ya Ukraine na Russia?
Je, haisikilizwi?
Je, haioni umuhimu?
Je, hayawahusu?
Je, ni kawaida kwao?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Yawezekana Mungu pia kashatuchoka !! maana tunapitia magumu - Mvua yenyewe imegoma kunyesha mwaka wa 3 huu sasa.Sisi tupo upande wa Mungu!!
Halafu kutokana na kuwa neutral bas us atakata misaada Ndio màana matozo na Bima ya AFYA imeletwa kulipa Ili kufidia misaada ya WHO Pale america itakapo sirisha fedha kwenda WHO!!
TUFUNGE MKANDA!!
Halafu huwa tunajimwambay kwa vitu vya ajabu ajabu sana mpaka tunaona aibu kuvikumbushia !!Africa ni bara lisilojitambua, hakuna nchi Africa inaweza kujiendesha yenyewe bila misaada toka nje, yaani sisi waafrica hapa Duniani ni sawa na mtu asiyeishi kwa shemeji - hata chumvi ikizidi kwenye mboga utavumilia huna namna, ukinyenyua domo tu utaambiwa kamshurutishe mkeo kwako bata wewee !!
Umaskini wa kujitakia wenyewe ni mbaya mno.