Kwanini UN haikemei kauli na vitendo vya kichokozi vya US na UK kwa Urusi

Kwanini UN haikemei kauli na vitendo vya kichokozi vya US na UK kwa Urusi

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Umoja wa mataifa UN mara nyingi umeomba vita baina ya Urusi na Ukraine visitishwe haraka.Papo hapo kila leo Marekani na Uiengereza wanatoa ahadi za wazi wazi za kupeleka silaha kwa Ukraine ili iendeleze vita vyake na Urusi kwa niaba yao. Jee UN hawasikii au wanasubiri nini kukemea vitendo hivyo vinavyoweza kupelekea vita vibaya vya nyuklia.
 
We mwendawazimu ucho
Umoja wa mataifa UN mara nyingi umeomba vita baina ya Urusi na Ukraine visitishwe haraka.Papo hapo kila leo Marekani na Uiengereza wanatoa ahadi za wazi wazi za kupeleka silaha kwa Ukraine ili iendeleze vita vyake na Urusi kwa niaba yao. Jee UN hawasikii au wanasubiri nini kukemea vitendo hivyo vinavyoweza kupelekea vita vibaya vya nyuklia.
We mwendawazimu uchokozi WA US na UK ndio ukoje ?
 
Umoja wa mataifa UN mara nyingi umeomba vita baina ya Urusi na Ukraine visitishwe haraka.Papo hapo kila leo Marekani na Uiengereza wanatoa ahadi za wazi wazi za kupeleka silaha kwa Ukraine ili iendeleze vita vyake na Urusi kwa niaba yao. Jee UN hawasikii au wanasubiri nini kukemea vitendo hivyo vinavyoweza kupelekea vita vibaya vya nyuklia.
Kuandika kinyume kinyume kunaweza kufanya akili nayo kufikiria kinyume nyume. Yaani badala ya UN kuingilia ili kumtaka Mrusi aache uchokozi kwenye nchi za watu, unawataka wanaotoa msaada kwa anayeonewa waache, ili apigwe vizuri.
 
Mtoa mada Yuko sahihi.
Badala ya kufanya juhudi kumaliza vita wao wanapeleka silaha kuchochea vita.hawa US na UK ni wabaya zaidi .
 
Umoja wa mataifa UN mara nyingi umeomba vita baina ya Urusi na Ukraine visitishwe haraka.Papo hapo kila leo Marekani na Uiengereza wanatoa ahadi za wazi wazi za kupeleka silaha kwa Ukraine ili iendeleze vita vyake na Urusi kwa niaba yao. Jee UN hawasikii au wanasubiri nini kukemea vitendo hivyo vinavyoweza kupelekea vita vibaya vya nyuklia.
Ni haki ya alievamiwa kusaidiwa rejea Kisa cha arhum sadam husein
 
Kuandika kinyume kinyume kunaweza kufanya akili nayo kufikiria kinyume nyume. Yaani badala ya UN kuingilia ili kumtaka Mrusi aache uchokozi kwenye nchi za watu, unawataka wanaotoa msaada kwa anayeonewa waache, ili apigwe vizuri.
Kwanza lingetoka tamko kwa kukataza uvamizi,na kama umetokea basi tamko la pili iwe ni kukemea wanaochochea mzozo.Hatusikii hicho cha pili sasa ni ukubwa gani huo,
 
Ukivamiwa ww na kibaka ndio utajua ukweli[emoji16][emoji16][emoji16]
Kwa kuhofia kibaka basi kwanza nitagombana na yule mwenye nyumba jirani yangu inayofuga vibaka.Au vibaka wa miji ya mbali wanakuja hapo kufanya uovu wao na zaidi hao wanaotembelea nyumba hiyo wanasema wana usongo na mimi eti hapo zamani niligombana na babu yao.
 
UN ni toothless dog
Usitegemee chochote kutoka kwao
Walianzisha mahakama ya kihalifu wa kivita (the Hague) lakini Marekani kaigomea hiyo mahakama na hawajafanya kitu
Jambo lingine ni kwamba posho zote za kujikimu za vikao 80% ya pesa ni US ndiye anaetoa hivyo the hand that provides is above the hand that receives
 
Jambo lingine ni kwamba posho zote za kujikimu za vikao 80% ya pesa ni US ndiye anaetoa hivyo the hand that provides is above the hand that receives
Kama ni hivyo hii UN ina maana gani.Kumbe umebaki ni mkono wa US kufanya anavyotaka halafu akasema ni jambo la dunia nzima.UN inatupotezea muda bure.Muda wake umekwisha kama inavyoelekea kwisha new world order.
 
Aliyeanzisha Vita NI Nani?
Unataka umpige mwenzako akisaidiwa unalalamika?
Kama wewe mbabe endelea kupambana tena siku moja unapiga bomu London na New York ambao ni vimbele mbele huo ndo UANAUME.
usitafute wanyonge
Kutamka,kuahidi kupeleka na Ukraine kuthibitisha kupokea silaha kutoka kwao, Wewe unaonaje hiyo.
 
Kwa kuhofia kibaka basi kwanza nitagombana na yule mwenye nyumba jirani yangu inayofuga vibaka.Au vibaka wa miji ya mbali wanakuja hapo kufanya uovu wao na zaidi hao wanaotembelea nyumba hiyo wanasema wana usongo na mimi eti hapo zamani niligombana na babu yao.
Ramli chonganishi
 
Back
Top Bottom