Wakati akina ANC, SWAPO, ZANU, ZAPU, MPLA, FNLA, UNITA na FRELIMO wanasaidiwa kijeshi enzi hizo hawakusema UN walaani waliokuwa wakiwapa misaada, sasa kwa nini hao ndio leo walaaniwe kwa kumsaidia aliyevamiwa??
Unafiki sio mzuri na ni dhambi mbele za Mungu, acheni Ukraine asaidiwe kwani anajihami dhidi ya utaahira wa warusi.
Unafiki sio mzuri na ni dhambi mbele za Mungu, acheni Ukraine asaidiwe kwani anajihami dhidi ya utaahira wa warusi.