Kwanini Unaamini Mungu yupo?

Kwanini Unaamini Mungu yupo?

Mungu angekuwepo kusengukuwa na haja ya kufanya utafiti wowote ili tumjue, kwani yeye ni muweza wa yote na ana ujuzi wote...
Hvo tungemjua tu automatically....

Post sent using JamiiForums mobile app
mkuu kwani we ushafaya yote ambayo unaweza kuyafanya?
 
Unajua wengi tumekua na kukuta utaratibu ambao umewekwa na walitutangulia.
Wengi tumedumisha imani ambazo tumezikuta mwenye jamii yetu.

Hivi ulishawahi jiuliza kwanini www ni dini hiyo unayoiamini?

Je unahisi km ungezaliwa dini nyingine ungebadili?

Je mpaka sasa unaamini dini yako ndio sahihi? Kwanini?

Je Kitu gani hasa kinakufanya uamini Mungu yupo?

Cc Kiranga, Al-Watan, Apollo, ONTARIO Jimena
Mungu yupo tu, kutokujua kwako kuwa hayupo haimaanishi kuwa hayupo.
 
Ukiangalia jinsi mambo yalivyo kwa undani,kuhusu miti,wadudu,wanyama,ndege,binadamu,bahari,anga,upepo,madini nk...utagundua kua Mungu hayupo kabisa

Kama Mungu yupo inabidi aseme yeye chanzo chake ni nini?

Mana mpaka leo...watu wa dini hawajui Mungu/Allah alitoka wapi,lakini pia wanasayansi nao hawajui chanzo cha sayari na nyota na viumbe vingine.

Kwa ufupi mpaka sasa hakuna taarifa sahihi kuhusu Mungu na Dunia
Safi kabisa huu ukweli ni mchungu kwa baadhi ya watu
 
According to this bible verse, God is the source of all evil right?!

Kumbe Shetani anasingiziwa tu [emoji1] [emoji1]

Post sent using JamiiForums mobile app
Hivi vitabu ukivisoma ukiwa open mind utaona mengi yakushangaza!!

Ni hatua ngumu sana kama umekulia katika vitabu hivi toka utotoni kuvitazama kwa fikra huru.
 
Hivi vitabu ukivisoma ukiwa open mind utaona mengi yakushangaza!!

Ni hatua ngumu sana kama umekulia katika vitabu hivi toka utotoni kuvitazama kwa fikra huru.
Sasa hapo kuna ugumu gani kwenye hiyo aya.
Kwa wasio mwamini Mungu kama yupo, na hiyo aya haipo vilevile, haina maana yoyote.

Kwa wanaoamini Mungu wanaelewa tena kwa wepesi kabisa kuwa Mungu ndiye chanzo cha kila kitu.

Huyo Shetanini aliumbwa na Mungu.
Mungu anauwezo wa kumfanyia ubaya mtu yoyote pamoja na Shetani mwenyewe.

Kabla ya kukufanyia ubaya Mungu huwa anakueleza mapema kuwa ukifanya hivi utaadhibiwa hivi.

Adam alishatahadharishwa kuwa

"walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika"
Mwanzo 2 : 17.

Mungu alimkataza huku akiwa amempa matunda mengi ya kula.
Baadae Adamu akala lile tunda sasa kilichofuata ni adhabu ya kifo.

Hapa nani wa kulaumiwa ?

Mungu alimruhusu Shetani kumpa magonjwa Ayubu huku alisha mfundisha Ayubu kuto mkufuru Mungu.

Hivyo ni Mungu ndiye aliyeruhusu Ayubu kujalibiwa.

Ni kweli Shetani siyo chanzo cha ubaya kwani hata Shetani mwenyewe anasubiri kufanyiwa ubaya na Mungu kwa kuunguzwa kabisa siku za hukumu ya kiyama.

Mungu aliiharibu kwa gharika dunia ya Nuhu na pia akaichoma Sodoma na Gomola huu ni ubaya ambao hata Shetani hauwezi kuufanya kwani hajaruhusiwa na Mungu kuufanya.

Mungu alifanya hivyo baada ya watu wa huko kufanya uovu wa kupindukia na hivyo kuadhibiwa na Mungu.

Lakini tunasoma Nuhu na Lutu ambao walikuwa wanaishi kwa kufuata maagizo ya Mungu waliokolewa na Mungu mwenyewe.

Shetani alipewa uhuru wa kuwashawishi wanadamu kuacha kuzitii amri za Mungu kwakuwa Mungu ndiye Muasisi wa Utawala wa Democrasia akamruhusu wakati amesha waeleza watu kuwa wasimtii Shetani.

Pia Mungu alisha wapa uwezo wanadamu wa kumkataa Shetani, na amewatahadharisha watu ambao kwa hiari yao wata zikataa amri Mungi kuwa mwisho wa siku atawateketeza kwa Moto pamoja na Shetani Mwenyewe.

Sisi binadamu kwakuwa ni dhaifu hatuna jinsi zaidi ya kuamua hatima yetu kwa matendo yetu wenyewe.

Tungekuwa na nguvu tungetenda dhambi na mwisho wa siku tungekataa kwenda motoni.

Lakini kwakuwa sisi hatuna nguvu ya kuweza kuyakataa maamuzi ya Mungu,
Na kwakuwa tunapenda kuishi milele kama Mungu alivyotuahidi basi TUNALAZIMIKA kutenda mema ya Mungu ili tuendelee kuishi maisha ya milele.

Kwahiyo hakuna ukakasi hapo
Wema wote na Ubaya wote ni Mungu ndiye anayeruhusu utokee.

Ni sawa na mtu akikuambia ukinywa hii sumu hakika utakufa.
Kama utakunywa na ukafa utamlaumu aliyekuonya isinywe ?
Kama niyeye aliyeitengeneza hiyo sumu hapo mbaya ni nani sasa?
Kama ndio au siyo mimi sijui.

Mwanadamu umepewa maarifa ili uweze kuchagua, mema na mabaya ni kipi anachotaka kimtokee.

Je
1. Unataka kutenda mema ili uishi maisha ya milele mbingumi baada ya kifo ?

2.Unataka kutenda mambo aliyokatazwa na Mungu ili Mungu akuue kabisa kwa kukuchoma moto baada ya kifo chako cha mwili ?

Ni juu yako kuchagua.

Nawasalimu wote mnaotia mashaka juu ya uwepo wa Mungu.
Ndugu zangu Mungu yupo na anataka tizitii amri zake na hatuna namna kwani
"Hatuna Pa Kukimbilia Asitukamate"

Kwa sasa ni hiari yetu kuamua kwamba tunatambua uwepo wake au la.
Kwamba tunazifuata amri zake au la.

Ndiyo maoni yangu
Che mittoga.
 
Unajua haipendezi kuandika mambo kwa hisia tu.

Uliisha wahi kufika hiyo milango isiyofunguliwa?ulijuaje kama ina historia za dini za zamani wakati hiyo milango haifunguliwi??
Na wewe ulimjuaje Mungu wakati mmeandika kuwa mungu hachunguziki
 
ha ha ha..
basi ngoja nilete swali moja kwa moja.. umesema Mungu yupo kwasababu wewe upo sasa nani anafanya Mungu na wewe kuwepo..? na kuwepo kwako kunadhihirisha vipi kuwa mungu yupo..?
na kuwepo kwako yeye anapata faida gani..?
We unafikili ni kwanini ulizaliwa na je ulizaliwa ili ufanye nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza hakuna afanyae Mungu kuwepo, Mungu alikuepo, yupo na ataendelea kuwepo. Mungu ndio kanifanya mimi niwepo kupitia kuumbwa kwa Adam na Eva vikapita vizazi na vizazi mpaka mi nikazaliwa, Mungu alimuumba mwanadamu ili amtumkie na amuabudu na kuvitunza vitu vyote vya duniani ili kuutukuza utukufu wa Mungu. Katika kumuuabudu na kumtumikia Mungu tunapata faida nyingi sana hata hazihesabiki , kuhusu Mungu kupata faida kwa kweli swali liko juu ya uwezo wangu, labda umuulize mwenyewe kupitia sala atakujibu
Naunga mkono hoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hapo kuna ugumu gani kwenye hiyo aya.
Kwa wasio mwamini Mungu kama yupo, na hiyo aya haipo vilevile, haina maana yoyote.

Kwa wanaoamini Mungu wanaelewa tena kwa wepesi kabisa kuwa Mungu ndiye chanzo cha kila kitu.

Huyo Shetanini aliumbwa na Mungu.
Mungu anauwezo wa kumfanyia ubaya mtu yoyote pamoja na Shetani mwenyewe.

Kabla ya kukufanyia ubaya Mungu huwa anakueleza mapema kuwa ukifanya hivi utaadhibiwa hivi.

Adam alishatahadharishwa kuwa

"walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika"
Mwanzo 2 : 17.

Mungu alimkataza huku akiwa amempa matunda mengi ya kula.
Baadae Adamu akala lile tunda sasa kilichofuata ni adhabu ya kifo.

Hapa nani wa kulaumiwa ?

Mungu alimruhusu Shetani kumpa magonjwa Ayubu huku alisha mfundisha Ayubu kuto mkufuru Mungu.

Hivyo ni Mungu ndiye aliyeruhusu Ayubu kujalibiwa.

Ni kweli Shetani siyo chanzo cha ubaya kwani hata Shetani mwenyewe anasubiri kufanyiwa ubaya na Mungu kwa kuunguzwa kabisa siku za hukumu ya kiyama.

Mungu aliiharibu kwa gharika dunia ya Nuhu na pia akaichoma Sodoma na Gomola huu ni ubaya ambao hata Shetani hauwezi kuufanya kwani hajaruhusiwa na Mungu kuufanya.

Mungu alifanya hivyo baada ya watu wa huko kufanya uovu wa kupindukia na hivyo kuadhibiwa na Mungu.

Lakini tunasoma Nuhu na Lutu ambao walikuwa wanaishi kwa kufuata maagizo ya Mungu waliokolewa na Mungu mwenyewe.

Shetani alipewa uhuru wa kuwashawishi wanadamu kuacha kuzitii amri za Mungu kwakuwa Mungu ndiye Muasisi wa Utawala wa Democrasia akamruhusu wakati amesha waeleza watu kuwa wasimtii Shetani.

Pia Mungu alisha wapa uwezo wanadamu wa kumkataa Shetani, na amewatahadharisha watu ambao kwa hiari yao wata zikataa amri Mungi kuwa mwisho wa siku atawateketeza kwa Moto pamoja na Shetani Mwenyewe.

Sisi binadamu kwakuwa ni dhaifu hatuna jinsi zaidi ya kuamua hatima yetu kwa matendo yetu wenyewe.

Tungekuwa na nguvu tungetenda dhambi na mwisho wa siku tungekataa kwenda motoni.

Lakini kwakuwa sisi hatuna nguvu ya kuweza kuyakataa maamuzi ya Mungu,
Na kwakuwa tunapenda kuishi milele kama Mungu alivyotuahidi basi TUNALAZIMIKA kutenda mema ya Mungu ili tuendelee kuishi maisha ya milele.

Kwahiyo hakuna ukakasi hapo
Wema wote na Ubaya wote ni Mungu ndiye anayeruhusu utokee.

Ni sawa na mtu akikuambia ukinywa hii sumu hakika utakufa.
Kama utakunywa na ukafa utamlaumu aliyekuonya isinywe ?
Kama niyeye aliyeitengeneza hiyo sumu hapo mbaya ni nani sasa?
Kama ndio au siyo mimi sijui.

Mwanadamu umepewa maarifa ili uweze kuchagua, mema na mabaya ni kipi anachotaka kimtokee.

Je
1. Unataka kutenda mema ili uishi maisha ya milele mbingumi baada ya kifo ?

2.Unataka kutenda mambo aliyokatazwa na Mungu ili Mungu akuue kabisa kwa kukuchoma moto baada ya kifo chako cha mwili ?

Ni juu yako kuchagua.

Nawasalimu wote mnaotia mashaka juu ya uwepo wa Mungu.
Ndugu zangu Mungu yupo na anataka tizitii amri zake na hatuna namna kwani
"Hatuna Pa Kukimbilia Asitukamate"

Kwa sasa ni hiari yetu kuamua kwamba tunatambua uwepo wake au la.
Kwamba tunazifuata amri zake au la.

Ndiyo maoni yangu
Che mittoga.
Kweli mkuu hata mim naamin kua kuna muda shetani anamuomba mungu ili mambo yasiende kombo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli mkuu hata mim naamin kua kuna muda shetani anamuomba mungu ili mambo yasiende kombo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo haliwezekani.
Tayari Agano la Shetani kutengwa na Mungu limesha sainiwa.

Ndiposa Shetani akamwomba Mungu aanzishae himayake ambayo pia atawashawishi baadhi ya binadamu ili wamwunge mkono wa kumkaidi Mungu.
Kwani Shetani alitaka kusingizia kuwa Mungu anawalazimisha watu kufuata maagizo yake, na kama angewaacha huru hakuna binadamu hata mmoja angezifuata amri za Mungu.

Ili kuonesha mfano wa demokrasia ya kweli, Mungu akamruhusu Shetani aanzishe himaya yake ili amwoneshe Shetani kuwa,
watu wanampenda Mungu kwa hiari yao na sio kwa kumuogopa.

Mungu akawaeleza ukweli wanadamu kwenye maandiko yake, na kuwapa uhuru wa kuamua.

Ndiyo maana unaiona hii vita ya leo. Imetoka mbali na ipo hadi Yesu atakaporudi.

Shetani anasubiri tu muda wa kuhukumiwa alishamkufuru Mungu na kuanzisha himaya yake ya kutenda uovu.

Ndo kwa maana imeandikwa hata leo kwetu binadamu kuwa.

"Ukimkufuru Roho Mtakatifu hutasamehewa katika ulimwengu huu au ule ujao"

Ogopa sana kumkufuru Mungu ndugu yangu. Hakuna msamaha kabisa wewe usubiri hukumu na kuangamizwa tu.

Kamwe usiingie kwenye mtego wa kumkufuru Mungu.

Kama unavyoona baadhi ya watu wanafanya, hao wameshajihesabia upotevu.

Tumebaki sisi tunaye amini uwepo wa Mungu.
Wanzetu wanajaribu kutupotosha ili tuungane nao kwenye janga la kuteketezwa.

Usiyumbe.
 
Suala la kubadili ni Ghaibu, kwakua M'mungu humuongoa amtakaye Ingawa kila mtu anazaliwa as a Muslim

*Naamini yupo kwakua kishathibitisha uwepo Wake ktk Uumbaji alioufanya,isingeweza kutokea tu kimazingira na vitu vikawa ktk order kama tuvionavyo, akili iliyotumika haiko ktk Viwango vya kibinaDamu"

Naamini Dini yangu ni Sahihi kwakua manabii wote walishushwa kueneza Kitu kimoja na si Vinginevyo, far Enough ni muongozo ambao wanaDamu tumepatiwa na allah ambao ni QURAAN, kitabu pekee ambacho hakijaacha lolote ktk Uso wa Dunia, kisicho na Hitilafu hata nukta, Ambacho kimefaulu Majaribio na Changamoto za kila namna kutoka kwa wanazuoni mbalimbali, Wanasayansi, Wadadisi wa masuala tofauti tofauti na Bado kikabaki kuwa KINARA
atleast that...



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza hakuna afanyae Mungu kuwepo, Mungu alikuepo, yupo na ataendelea kuwepo. Mungu ndio kanifanya mimi niwepo kupitia kuumbwa kwa Adam na Eva vikapita vizazi na vizazi mpaka mi nikazaliwa, Mungu alimuumba mwanadamu ili amtumkie na amuabudu na kuvitunza vitu vyote vya duniani ili kuutukuza utukufu wa Mungu. Katika kumuuabudu na kumtumikia Mungu tunapata faida nyingi sana hata hazihesabiki , kuhusu Mungu kupata faida kwa kweli swali liko juu ya uwezo wangu, labda umuulize mwenyewe kupitia sala atakujibu
Yupo wapi mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua wengi tumekua na kukuta utaratibu ambao umewekwa na walitutangulia.
Wengi tumedumisha imani ambazo tumezikuta mwenye jamii yetu.

Hivi ulishawahi jiuliza kwanini www ni dini hiyo unayoiamini?

Je unahisi km ungezaliwa dini nyingine ungebadili?

Je mpaka sasa unaamini dini yako ndio sahihi? Kwanini?

Je Kitu gani hasa kinakufanya uamini Mungu yupo?

Cc Kiranga, Al-Watan, Apollo, ONTARIO Jimena
Dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu.
Wokovu ni mpango wa Mungu kumtafuta mwanadamu.
Dini yoyote ile ( kwa maana ya mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu), unaweza usiwe sahihi, ila wokovu ( kwa maana ya mpango wake Yeye Mungu kumtafuta Mwanandamu) uko sahihi.
Achana na dini kwa sababu hata upagani ni dini pia, na ukiangalia vizuri utakuta kuwa hakuna mtu ambaye hana dini! Kuwa na Dini siyo lazima uwe unaenda Msikitini au Kanisani. Kuwa na dini kuanamaanisha kuwa huwa unafanya Ibada. Unafanya Ibada kwa nani, that is another case. Kumumbuka mwanadamu aliumbwa ili aabudu. Zaa mtoto halafu umchukue ukamfiche porini akue huko na wanyama, rudi baada ya miaka kadhaa utamkuta alishaanza kufanya Ibada. Yani ni lazima utakmuta alishaanza kufanya Ibada bila kufundishwa! Atomatically huwa tunazaliwa tuko locked kwenye dini, whether ya wazazi au nyingine tofauti na ya wazazi wako that's another case as well.
Tafuta mpango wa MUNGU kwako, usifuate mpango WAKO KWAKE! Claear?
 
Back
Top Bottom