Kwanini unaipenda Jf

Ni mahali pekee unapoweza kupata habari za uhakika asilimia100,

Vyanzo vingi vya habari hapa ni watu ambao kwa namna moja au nyingine ameiona habari kwa macho, hkuna udaku jf

Memba wengi wa hapa ni watu wenye uelewa mkubw wa mambo.


Umbea Jf haupo?

au nimekuelewa vibaya.
 
Jf hata kama sina data Mimi nahabarika
 
Ndio forum pekee ambao naweza kupata taarifa au habari inayohusu karibu kila kitu ,kwa East Africa naweza kusema ndio forum namba moja.kupitia JF nimekutana na wataalamu wa IT na Electronic wamenisaidia kufanya right choices kwenye manunuzi alikadharika kwenye Ujenzi nimekutana na wataalamu kwenye siasa na udaku ndio usiseme !la muhimu kabisa nimeweza kujipima uwezo wangu wa kuchanganua mambo uiilinganisha na wengine especially wale wanaoitwa great thinkers .In short siwezi pitisha lisaa bila kuingia hapa unless niwe nimelala au nafanya kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…