Amka utafute hela mzee, achana na ndoto za kimaskini.
Hata unajua maana ya umasikini ? Kwahio kwako wewe umasikini ni lack of money ? Kudhani kwako pesa ni ndio alfa na omega ndio kupotoka kwako..., umasikini ni lack of resources zinazokufanya uwe depraved na basic needs; ukishapata basic needs kinachofuatia hapo sio the same kwa ila mtu
Kutokubadili nguo ni purpose? Kuishi kwa shida (bila Huduma muhimu) ni purpose?
Kwanini mtu habadilishi nguo ? Au kwanini mtu anavaa nguo in the first place ? Nguo purpose yake ni kujikinga na extremities na kama ndivyo na nguo hio ni safi basi inakidhi kigezo hicho..., ila kama ni sababu ya appearance basi mwingine anaweza kuona kuwa na nguo nyingi ni vulgarity na kuwa kwake nazo nyingi kila akizivaa anakuwa hana peace of mind...; Au mwingine anaweza kuona kuvaa kitambaa chenye chata ya Nike Addidas ndio amefika, wakati mwingine anaona kutoa Laki moja kwa nguo yenye value ya sumni sababu ya chata ni kuwa shortchanged..... Au kwa logic yako basi kungekuwa hakuna nudists au naturalists.
Na unapoongelea basic needs kuna feeling safe and secure, unaweza ukawa na pesa za kumwaga na unaishi kwenye nyumba ya dhahabu ambayo kwa macho ya wengi watakuona umefika, (lakini you don't feel safe and are full of stress) and by that token hauna peace of mind....
Pesa sio kila kitu, lakini ukiwa na pesa unakua na options.
Nope inawezekana unachotaka wala hakihitaji pesa wala kuwa kwako na pesa usiweze kupata unachohitaji..., inawezekana kuwa kwako na pesa kukakunyima hizo options..., and by the way like I said kuanzia mwanzo basic needs ni muhimu kwa kila binadamu sababu bila hizo then nothing else matters.., Na lazima ujue kwamba Ni vigumu kupata all that you want hata kama una pesa..., unaweza ukawa unataka kwenda mwezini lakini hata hicho chombo hakipo..., thus the happier person ni yule ambaye anaridhika na alichonacho au anacho anachokitaka... unaweza ukawa na Pesa nyingi ila unakaa Monaco na sababu pesa zako ni average kulinganisha na watu wa kule kwahio hata clubbing huwezi kwenda kwa kukosa nafasi na kila ukitaka kuingia ni fully booked wakati mwingine hata kwenda clubbing hataki na kusoma kwake novel ndio mpango mzima na anaisha kijijini kwenye natural air without pollution
Mf. Unataka kusafiri from Mwanza to dar.
Mwingine hata kusafiri hataki na alipo ameridhika thus anapata anachotaka na anaweza kutoka point A mpaka B kwa kufanya zoezi la kutembea....
== ukiwa huna pesa, moja kwa moja tunaweza kutabiri utatumia usafiri wa bus.
Mwingine basi ndio anapenda sababu kwake ni utalii na mwingine ingawa anapenda basi ila hana option sababu ni star au anajulikana sana hivyo akisafiri na wanajamii inakuwa kero au anasumbuliwa na hawezi kupata privacy, hivyo kupelekea kutokuwa hata na hio option..., Mwingine yupo kijijini ambapo kutoka point A mpaka B kwa siku ni rahisi na mwingine yupo New York, traffic congestion na pollution ndio order of the day na katika maisha yake anatumia robo tatu akiwa stuck in traffic (sio kwamba anapenda bali ndio hali halisi na yupo stuck in a rat race)
Lakini ukiwa na kibunda unakua na options, unaeza panda ndege, unaeza washa chombo yako e.t.c
Like I elaborated above wants zinategemea na mtu na mtu na unaweza ukawa na pesa na usiwe na options ya kupata unachotaka and vice versa...,
Pia kujikita kwenye usafiri (Au one category na sio Underlying Wants ambazo zina differ) you are missing the point.., Purpose ni kile ambacho unatamani na kukifukuzia kwahio the difference between happiness and being miserable ni acquirement ya hicho kitu, vingine vyote ni facilitators bahati mbaya watu wanadhani pesa ni main ingredient ya facilitation thus wanashangaa hata siku wakipata hizo pesa bado wapo miserable