Kwanini unamchukia huyu hustler? Tupe ushuda wako

Kwanini unamchukia huyu hustler? Tupe ushuda wako

I am Groot

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
3,929
Reaction score
10,747
Jembe kama jembe. Akiamua kukutawala utaomba poh!😂

images.jpeg
 
U hustler wake shida unalenga kwenye maumivu yetu. Ingekuwa anapambana na majani nje huko wala tusingemmaindi ila mbwa huyu anaweza kula setifiketi za udsm kwa kisingizio cha u hustler shenzi sana huyu

Bora wamakonde wanavyowala tu mbwa hawa.
 
Uyo noma we katafute yeye atakuja kula tena night kali we unaota upo ubaya ubwelaaa
 
Bwana panya harakati zake Huwa ni nyakati za usiku usiku ( dj afro)
 
Back
Top Bottom