I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
Akili wanazo, kuna muda ukitia sumu, anaenda na likizo, suluhisho weka pakaHivi kwanini siku hizi hawafi kwa sumu?
Wanakunywa sana majiiiHivi kwanini siku hizi hawafi kwa sumu?
Kwaiyoo muhimbili hospital ni boma la ng'ombeUkiona una panya ndani hiyo nyumba ni chafu na umejaza mkorokoro yasiyo na maana. Kiujumla hiyo sio nyumba ni store au barn la majani ya ng'ombe.
Natural born hustler, yaani maisha mapambano since day wanazaliwa. Tatizo lake achagui upi ni uwania wa nyumbani na ugenini
Sikutegemea dukuduku hili usiku huuππNuhu alifanya kosa sana kumuingiza huyu mwamba kwenye safina.
Paka wa siku hizi wazembe zembe tuAkili wanazo, kuna muda ukitia sumu, anaenda na likizo, suluhisho weka paka