Tigga Mumba
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 746
- 473
mimi kwa kweli naogopa,just because wanangu watalelewa na nani?lakini nikifikisha miaka 100 hivi,wala siogopi
Kwahiyo kikubwa ni watu au maisha yako unayoacha ndio yanakutia hofu ila sio suala la motoni au peponi?
ni theory ngumu lakini urahisi wake unaweza ukaulinganisha na mfano wa mtoto aliyeko tumboni mwa mama anavyoogopa kuzaliwa ili aje katika hii dunia. Kwanza kwa uelewa wake japo anakuwa na hisia lakini hawezi kujua dunia hii ikoje kama sisi tusivyoweza kujua dunia inayokuja baada ya mauti ikoje!