Tigga Mumba
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 746
- 473
Kiukweli watu wengi wanaogopa kufa sababu wanadhani wataenda JEHANAM!!
Ingawa utasema unaogopa kufa sababu hujui uendako au labda familia utaiachaje, ila wengi wakiwaza ule moto wanaogopa(ambako wengi wanaona wanaqualify kuwa huko)
Wanaojiua wanakuwa wameamua kabisa hata moto uweje liwalo na liwe.
Jiulize mtoto mdogo asiyejua peponi na jehanam(ukiachilia mbali kufa) anaogopa kufa?
Ingawa utasema unaogopa kufa sababu hujui uendako au labda familia utaiachaje, ila wengi wakiwaza ule moto wanaogopa(ambako wengi wanaona wanaqualify kuwa huko)
Wanaojiua wanakuwa wameamua kabisa hata moto uweje liwalo na liwe.
Jiulize mtoto mdogo asiyejua peponi na jehanam(ukiachilia mbali kufa) anaogopa kufa?