GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,286
- 6,736
Ni kweli wapo ambao wamepata watoto kwa bahati mbaya, wengine walijaribu
hata kutoa mimba ikashindikana. Ninaowakusudia hapa ni wale ambao wamedhamiria
kupata hao watoto. Tena wengine wamethubutu hata kwenda kwa waganga.
Wako ambao wanasema wanataka watoto ili wawasaidie hapo baadae.
Nataka kujua kutoka kwenu kwanini unahitaji mtoto/watoto mpaka kufikia kukosa
furaha ndani ya mahusiano na mwenza wako?
Unataka akusaidie?
Ni pambo la nyumba?
Kwanini mtoto?
hata kutoa mimba ikashindikana. Ninaowakusudia hapa ni wale ambao wamedhamiria
kupata hao watoto. Tena wengine wamethubutu hata kwenda kwa waganga.
Wako ambao wanasema wanataka watoto ili wawasaidie hapo baadae.
Nataka kujua kutoka kwenu kwanini unahitaji mtoto/watoto mpaka kufikia kukosa
furaha ndani ya mahusiano na mwenza wako?
Unataka akusaidie?
Ni pambo la nyumba?
Kwanini mtoto?