Acha tu sio wewe tu. Watu wanadhani hatupendi kuacha tatzo vipato vya wengi viko connected kwenye bar / pombe. Mimi kazi na ma deal mengi ndio nayapatia huko.
Hata kiwanja changu goba nliwahi pata kwenye bar / pombe na sikulipa hela yeyote ya dalali. Mmiliki nlikua niko nae tunapiga vyombo.