Kwanini unatakiwa kuacha ulevi wa pombe? Hizi ni baadhi ya faida

Ulevi ni mbaya sana ila pombe ya kiasi ina faida ikiwemo kufahamiana na watu pamoja na kupata konekshen.

Niache pombe nivute bangi?
 
Afya iimarike zaidi ya sasa.
Afya haiharibiwi na pombe tu,hata kula sana ni hatari kwa Afya,Soda tunaambiwa kuwa ni sumu mwilini,Hata maji nayo ukinywa Sana utapata madhara Kuna kitu kinaitwa Water intoxication.Soma hiyo ujionee mwenyewe.Haya maisha bhana ishi tu,Siku ikifika ya kuondoka duniani unaondoka tu.
 
Umeona eenhh?!!.Juzi kuna jamaa amenipa mchongo fulani matata tukiwa tunapiga Vyombo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…