The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Kwa sababu unga wa Mahindi hauumuki. Nawe tupe jibu.Ukijua kwa nini unga wa mahindi hawapikii chapati na mandazi.....utakuwa umeshapata jibu lako mkuu
akikujibu naomba nistueKwa sababu unga wa Mahindi hauumuki. Nawe tupe jibu.
Nahisi unavutika sana ungeleta shida kusongaakikujibu naomba nistue
Na ngano hawapikii ugali kwa kuwa una umuka..mkuuKwa sababu unga wa Mahindi hauumuki. Nawe tupe jibu.
Na kinachoumua ni amira mkuu.Kwa sababu unga wa Mahindi hauumuki. Nawe tupe jibu.
Unasongwa tunapopika vipopoo, japo ni kweli unavutika sana.Nahisi unavutika sana ungeleta shida kusonga