Kwanini unga wa ngano haupikiwi ugali?

Ukiuchanganya na dona unapata ugali flani mtamuuu.
 
Ukiuchanganya na dona unapata ugali flani mtamuuu.
Jamani hivi mnavyosema ni kweli au mnatuuzia chai?


Nakumbuka nikiwa nyumbani niliwahi kupiga uji wa unga wa ngano, nilikuwa naelekea kusonga ugali, nikaambiwa niumwage.
 
Habari!

Naomba kujua kwa nini unga wa ngano hua haupikwi ugali kama unga mwingine wa muhogo, mahindi nk.
Jibu ni rahisi mkuu nunua kilo moja ya unga wa ngano chukua sufuria lenye maji bandika jikoni anza kupika ugali kwa kutumia huo unga wa ngano utapata jibu sahihi
 
Jamani hivi mnavyosema ni kweli au mnatuuzia chai?


Nakumbuka nikiwa nyumbani niliwahi kupiga uji wa unga wa ngano, nilikuwa naelekea kusonga ugali, nikaambiwa niumwage.
Ninachokwambia ni kweli kabisa, usiukoroge uji tho!
Uji koroga wa dona kama kawaida ila wakati wa kusonga ugali, changanya ngano(isokobolewa) na dona, inakuwa kama umeweka unga wa muhogo.

Ni mtamuuuuu.
 
Unapika Mimi nimewahi kula nilipokuwa sumbawanga ila inakuwa ni ile ngano isiyokoborewa
 
Mahindi na ngano ukisaga pamoja.ni bonge LA unga.alaf ugali wake mtamu balaaaa.alafu unaongeza nguvu za kiume.
 
Mimi na changanya ngano, mtama mweupe,mahindi ya njano na unga wa muhogo kisha nasaga,da fully Lishe hautaji mboga,ukikoroga uji wake hauna haja ya sukari na mwili unakuwa na fully nguvu.
 
Mama angu alikuwa akichinja kuku.

Ugali ana-mix unga mahindi na ngano mtamu huo
 
uliposema udaga ...umenikumbusha mbali kinyama..n....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…