Kwanini unyanyasike wilaya za watu ni bora ukavipigane vita wilayani kwako

Kwanini unyanyasike wilaya za watu ni bora ukavipigane vita wilayani kwako

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Kwa jinsi uchumi wa sasa ulivyoulivyo ni wazi kinyang'anyiro cha Hela kimeongezeka yaani vita ya uchumi baina ya mtu na mtu imekuwa kubwa mno hali inayopelekea baadhi ya wakubwa hasa maboss kuwaonea watendaji wadogo ilimradi tu wao wapate Hela peke yao walipe madeni yao kwanza, wajenge majumba wao, waendeshe magari Mazuri.

Mtu anashindwa kuwa na chembe ya huruma Kwa mtumwa wake kwamba uko mkoa wa ugenini yampasa asikutupe sana maana umefuata kwake kazi na pesa ili uishi katika huo mkoa uyamudu maisha maana Kwa mkoa wa ugenini kila kitu kitahitaji pesa ununue.

Ingawa ukisikiliza maneno Ya watu wanapotosha kwamba usifanye kazi maeneo ya nyumbani hautafanikiwa lakini ukweli ni kwamba hata nyumbani kuna uwezekano mkubwa pia wa kufanikiwa.

Kwa sababu jiulize ukiwa wilaya ya nyumbani kwenu una backup kubwa ya watu ambao suala tu la njaa hautalisikia kamwe ila ukiwa mbali ni rahisi kukadiriwa Haki yako yaani mfano we ni fundi umejenga na fundi wako ukastahili kulipwa 100000 ila kwakuwa fundi wako mkuu anataka daima akunyanyase basi atakupa 50000 akiamini Kwa kuwa una njaa wewe utapokea tu kishingo upande ila ukiwa kwenu hutakubali upigwe panga kwenye maokoto lazima uwe mkali si huna njaa uhakika wa misosi upo maana upo karibu na ndugu ama wazazi wanaojishughulisha na kilimo.

Kufupisha tu maelezo yasiwe mengi ni kwamba mkoa wa nyumbani unakuwa jasiri yaani ulipokulia unajua mbinu za Hela upite wapi upate hela na ushirikiane na nani maana umekaa nao unajua tabia zao kama ni waaminifu mnapiga biashara na una mtaji wa watu kukushika kuliko huko mikoa ya ugenini kila mtu anawaza la kwake ndo kwanza wapo tayari kukukandamiza uzidi kuwanyenyekea.

kama maisha ni mapambano heri kupambania kombe na Hao walio mkoani kwako palipo asili yako rahisi kuwa jasiri kutetea maslahi yako. kama mbwai inakuwa mbwai kweli.
 
Kwa jinsi uchumi wa sasa ulivyoulivyo ni wazi kinyang'anyiro cha Hela kimeongezeka yaani vita ya uchumi baina ya mtu na mtu imekuwa kubwa mno hali inayopelekea baadhi ya wakubwa hasa maboss kuwaonea watendaji wadogo ilimradi tu wao wapate Hela peke yao walipe madeni yao kwanza, wajenge majumba wao, waendeshe magari Mazuri.

Mtu anashindwa kuwa na chembe ya huruma Kwa mtumwa wake kwamba uko mkoa wa ugenini yampasa asikutupe sana maana umefuata kwake kazi na pesa ili uishi katika huo mkoa uyamudu maisha maana Kwa mkoa wa ugenini kila kitu kitahitaji pesa ununue.

Ingawa ukisikiliza maneno Ya watu wanapotosha kwamba usifanye kazi maeneo ya nyumbani hautafanikiwa lakini ukweli ni kwamba hata nyumbani kuna uwezekano mkubwa pia wa kufanikiwa.

Kwa sababu jiulize ukiwa wilaya ya nyumbani kwenu una backup kubwa ya watu ambao suala tu la njaa hautalisikia kamwe ila ukiwa mbali ni rahisi kukadiriwa Haki yako yaani mfano we ni fundi umejenga na fundi wako ukastahili kulipwa 100000 ila kwakuwa fundi wako mkuu anataka daima akunyanyase basi atakupa 50000 akiamini Kwa kuwa una njaa wewe utapokea tu kishingo upande ila ukiwa kwenu hutakubali upigwe panga kwenye maokoto lazima uwe mkali si huna njaa uhakika wa misosi upo maana upo karibu na ndugu ama wazazi wanaojishughulisha na kilimo.

Kufupisha tu maelezo yasiwe mengi ni kwamba mkoa wa nyumbani unakuwa jasiri yaani ulipokulia unajua mbinu za Hela upite wapi upate hela na ushirikiane na nani maana umekaa nao unajua tabia zao kama ni waaminifu mnapiga biashara na una mtaji wa watu kukushika kuliko huko mikoa ya ugenini kila mtu anawaza la kwake ndo kwanza wapo tayari kukukandamiza uzidi kuwanyenyekea.

kama maisha ni mapambano heri kupambania kombe na Hao walio mkoani kwako palipo asili yako rahisi kuwa jasiri kutetea maslahi yako. kama mbwai inakuwa mbwai kweli.
Wazungu wa Ulaya wangesikiliza ushauri wako leo wasingekuwa America, Africa, Uarabuni na Asia.
Waarabu, Wapersia na Wahindi wangesikiliza ushauri wako leo hii wasingekuwepo kina Mo na Rostam.
 
Kwa jinsi uchumi wa sasa ulivyoulivyo ni wazi kinyang'anyiro cha Hela kimeongezeka yaani vita ya uchumi baina ya mtu na mtu imekuwa kubwa mno hali inayopelekea baadhi ya wakubwa hasa maboss kuwaonea watendaji wadogo ilimradi tu wao wapate Hela peke yao walipe madeni yao kwanza, wajenge majumba wao, waendeshe magari Mazuri.

Mtu anashindwa kuwa na chembe ya huruma Kwa mtumwa wake kwamba uko mkoa wa ugenini yampasa asikutupe sana maana umefuata kwake kazi na pesa ili uishi katika huo mkoa uyamudu maisha maana Kwa mkoa wa ugenini kila kitu kitahitaji pesa ununue.

Ingawa ukisikiliza maneno Ya watu wanapotosha kwamba usifanye kazi maeneo ya nyumbani hautafanikiwa lakini ukweli ni kwamba hata nyumbani kuna uwezekano mkubwa pia wa kufanikiwa.

Kwa sababu jiulize ukiwa wilaya ya nyumbani kwenu una backup kubwa ya watu ambao suala tu la njaa hautalisikia kamwe ila ukiwa mbali ni rahisi kukadiriwa Haki yako yaani mfano we ni fundi umejenga na fundi wako ukastahili kulipwa 100000 ila kwakuwa fundi wako mkuu anataka daima akunyanyase basi atakupa 50000 akiamini Kwa kuwa una njaa wewe utapokea tu kishingo upande ila ukiwa kwenu hutakubali upigwe panga kwenye maokoto lazima uwe mkali si huna njaa uhakika wa misosi upo maana upo karibu na ndugu ama wazazi wanaojishughulisha na kilimo.

Kufupisha tu maelezo yasiwe mengi ni kwamba mkoa wa nyumbani unakuwa jasiri yaani ulipokulia unajua mbinu za Hela upite wapi upate hela na ushirikiane na nani maana umekaa nao unajua tabia zao kama ni waaminifu mnapiga biashara na una mtaji wa watu kukushika kuliko huko mikoa ya ugenini kila mtu anawaza la kwake ndo kwanza wapo tayari kukukandamiza uzidi kuwanyenyekea.

kama maisha ni mapambano heri kupambania kombe na Hao walio mkoani kwako palipo asili yako rahisi kuwa jasiri kutetea maslahi yako. kama mbwai inakuwa mbwai kweli.
Kina wilaya nzima hazina mzunguko hata wa 5m kwa siku, kweli utakaa kwenye hiyo wilaya wewe machinga utatoboa kweli kwa kupata hata 5k kwa siku.
 
Wazungu wa Ulaya wangesikiliza ushauri wako leo wasingekuwa America, Africa, Uarabuni na Asia.
Waarabu, Wapersia na Wahindi wangesikiliza ushauri wako leo hii wasingekuwepo kina Mo na Rostam.
Mkuu hao wazungu wamekwenda kama wawekezaji na sio maskini... Hata mimi nikiwa na Hela naweza kwenda kuwekeza mfano kilimo katika mkoa wowote ila sio biashara aisee usimamizi unakuwanga mgumu.
 
kila mmoja wetu ana mtazamo wake kwenye kutafuta maisha ila unapoona panafaa ndipo unapambana
Yeah ni sahihi pale unapoona tayari kuna miundombinu ya kuweka mradi wa kujitafuta ndio sehemu sahihi kabisa sio kulazimisha sehemu ambayo rasilimali uitakayo haipo eti kisa tu unakomaa kiume
 
Kuna muda Mambo yanaweza kuwa magumu ukaamua kurudisha mpira kwa golikipa ili uanze upya.
 
Kwa jinsi uchumi wa sasa ulivyoulivyo ni wazi kinyang'anyiro cha Hela kimeongezeka yaani vita ya uchumi baina ya mtu na mtu imekuwa kubwa mno hali inayopelekea baadhi ya wakubwa hasa maboss kuwaonea watendaji wadogo ilimradi tu wao wapate Hela peke yao walipe madeni yao kwanza, wajenge majumba wao, waendeshe magari Mazuri.

Mtu anashindwa kuwa na chembe ya huruma Kwa mtumwa wake kwamba uko mkoa wa ugenini yampasa asikutupe sana maana umefuata kwake kazi na pesa ili uishi katika huo mkoa uyamudu maisha maana Kwa mkoa wa ugenini kila kitu kitahitaji pesa ununue.

Ingawa ukisikiliza maneno Ya watu wanapotosha kwamba usifanye kazi maeneo ya nyumbani hautafanikiwa lakini ukweli ni kwamba hata nyumbani kuna uwezekano mkubwa pia wa kufanikiwa.

Kwa sababu jiulize ukiwa wilaya ya nyumbani kwenu una backup kubwa ya watu ambao suala tu la njaa hautalisikia kamwe ila ukiwa mbali ni rahisi kukadiriwa Haki yako yaani mfano we ni fundi umejenga na fundi wako ukastahili kulipwa 100000 ila kwakuwa fundi wako mkuu anataka daima akunyanyase basi atakupa 50000 akiamini Kwa kuwa una njaa wewe utapokea tu kishingo upande ila ukiwa kwenu hutakubali upigwe panga kwenye maokoto lazima uwe mkali si huna njaa uhakika wa misosi upo maana upo karibu na ndugu ama wazazi wanaojishughulisha na kilimo.

Kufupisha tu maelezo yasiwe mengi ni kwamba mkoa wa nyumbani unakuwa jasiri yaani ulipokulia unajua mbinu za Hela upite wapi upate hela na ushirikiane na nani maana umekaa nao unajua tabia zao kama ni waaminifu mnapiga biashara na una mtaji wa watu kukushika kuliko huko mikoa ya ugenini kila mtu anawaza la kwake ndo kwanza wapo tayari kukukandamiza uzidi kuwanyenyekea.

kama maisha ni mapambano heri kupambania kombe na Hao walio mkoani kwako palipo asili yako rahisi kuwa jasiri kutetea maslahi yako. kama mbwai inakuwa mbwai kweli.
Kumbuka nabii hakubaliki kwao.
 
N
Kuna muda Mambo yanaweza kuwa magumu ukaamua kurudisha mpira kwa golikipa ili uanze upya.
Na vilevile kuna muda sio magumu sana ila tu pia Kwa vile uko mbali na home hakuna akujuaye basi unajikuta unakuwa na uhuru uliopotiliza ambao hupelekea sometimes kuwa na mazoea mabaya lifestyle isiyofaa mfano uzinzi ila home utafanya ila Kwa kujihami sana.
 
Kumbuka nabii hakubaliki kwao.
Shida inakuja nini maghayo unaweza ukawa ugenini ukakubalika na jamii lakini aliyeshika mfumo wa wewe kupata Hela asikukubali yeye sasa huoni hapo ni chenga... Same applies Kwa nyumbani huenda wasikukubali watu wako ila Tajiri yako akatokea kukuelewa sana akiamini Kukutumia wewe zaidi kwenye kazi Zake Kwa sababu ya uzoefu wa maeneo.
 
Nadhani kama mtu binafsi umepima na kuona kuwa nyumbani au ugenini panafaa kuchuma unakomaa tu, misemo ya sijui nabii hakubaliki kwao itabakia kuwa misemo tu ambayo muda wowote inaweza vunjwa, Kila mmoja ana namna ya kuona Fursa mahali Fulani aidha nyumbani au ugenini...Fursa ilipo popote basi ifuatwe, BTW maboss hao waache ujinga maisha ni duara.
 
Back
Top Bottom