Kwanini upande wa kulia na kushoto wa mwili wa binadamu haipo sawa.

Mara ya kwanza nilisikia kwa jamaa , yeye ni miguu anajaribisha mguu wa kushoto kiatu maana ndio mkubwa kuliko wa kulia.
 
Kiufupi mwili wa viumbe ambavyo ni bilateral symmetry haviko sawa . Ni vipande viwili tofauti vilivyounganishwa pamoja, unaweza kuugua upande mmoja tuu, unaweza ukapooza upande mmoja tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…