nitunuku mimiNamsubiri Asprin amalize kuangalia mpira
Kaniambia ni ku pm kumbe wewe hukubali basi bwana. Babu anakusalimia sana alini PM akasema upo pembe hizi.Namsubiri Asprin amalize kuangalia mpira
Anamalizia kunywa juice ya ukwaju hapa 😂Kaniambia ni ku pm kumbe wewe hukubali basi bwana. Babu anakusalimia sana alini PM akasema upo pembe hizi.
Nipo macho kwasababu naangalia matanuri ya mkaa yasiungue na kuwa majivu,msimu wa sikukuu huu mkaa unatumika sana.Kwa upande wng me nipo online baada ya kukosa Usingizi. Kukosa usingizi inatokana na kulala njaa. Kwahyo toka saa 5 nna hesabau kenchi pia nnajenga nyumba na kubomoa mwenyewe. Vip kuhusu ww mwenzangu.....?
Mwongo umemtelekeza babu umepata kimwana mwingine kaniambia. fungua PM yako,Anamalizia kunywa juice ya ukwaju hapa 😂
Nimebatizwa nae,Mwongo umemtelekeza babu umepata kimwana mwingine kaniambia. fungua PM yako,
Sijakuelewa. You were baptised with him or he baptised you?Nimebatizwa nae,
Ukibatizwa kwa jina la Flora hata ukibadili dini uitwe Fatma Flora halitakaa liondoke.Sijakuelewa. You were baptised with him or he baptised you?
Na Wewe mrembo upo macho!!Ukibatizwa kwa jina la Flora hata ukibadili dini uitwe Fatma Flora halitakaa liondoke.