Kabisa mshahara tarehe 15 kwishney lakini kibamia kinatamani kina hamisa mobeto wapi na wapi ndio maana tunaishia kungetuka na mlenda vuguvuguLow wages
Hahahah fafanua infrastructure teacherLack of infrastructures🥴
🤣🤣🤣T3 hazipo😔Hahahah fafanua infrastructure teacher
🤣🤣🤣🤣 Aloooo!!! Nayo ni shidaaaa🤣🤣🤣T3 hazipo😔
🤣🤣🤣🤣 Balaaa🤣🤣🤣🤣 Aloooo!!! Nayo ni shidaaaa
Wee ukumbuke mie back bencher so nili hoambulia ni la k of capital...hayo mengine ya wale ma-genius.malizia kabisa
land alienation
forced labour
scramble and partition of heart!
Mloganzila watakuoatia suluhisho la changamoto ya infrastructure.🤣🤣🤣🤣 Balaaa
Ni mwanaume mpumbavu tu! anayeweza kuamini kuwa kwa Dunia ya sasa, mapenzi si pesa,....Dah hii haina mashiko wataalamu wa mambo wanasema mapenzi si pesa
Kwa sababu ninakokaa hakuna mademu wazuri na wanaojielewa.Kila kitu kipo kwa sababu, watu wapo kwenye uhusiano wa kimapenzi kwa sababu mbalimbali zinazoeleweka kabisa kama kujenga familia nk.
Sasa kwa nyinyi mlio single Nipe Sababu ya msingi kabisa kwa nini upo single?.
Endelea 'KUTAFUTA' utapata tu.Sijapata Tu anaenipenda
Hayo wafanye under 18 mapema kabisa...siyo sisi 30sMloganzila watakuoatia suluhisho la changamoto ya infrastructure.
Hili nalo neno🥰Kwasababu ya usingizi wangu sitaki usumbufu nyakati za usiku
usipo lala vizuri sura inakuwa kama ya mzee haina nuru nk
Utakuwa unalala mshazali wewe kwenye kitanda cha 6x6 🤣🤣🤣.Kwasababu ya usingizi wangu sitaki usumbufu nyakati za usiku
usipo lala vizuri sura inakuwa kama ya mzee haina nuru nk
Utakuwa unalala mshazali wewe kwenye kitanda cha 6x6 🤣🤣🤣.
Unajichanuwa mwaaaa
Kha! Ullalaji gani tuu huu jamani?View attachment 3152032
ulijuaje kama hivyo