Sikutaki🤣🤣🤣Nakutaka.
Je, nitapata nafasi kwenye wako mtima?
Mama mchunga acha zako 🤗Kwasababu ya usingizi wangu sitaki usumbufu nyakati za usiku
usipo lala vizuri sura inakuwa kama ya mzee haina nuru nk
Nipe connectionmimi nakomaa na mishangazi tu ni mwendo wakuwalamba!
Kwakweli🤣🤣🤣
Ila mbona mimi niko sing
🤣🤣Sikutaki🤣🤣🤣
Na mautamu yangu yote!Sikutaki🤣🤣🤣
Kwamba na wewe upo single, labda kama upo under 20..kitu ambacho sio!! Na yule babe wako unamkana kweli!Wapi nimedanganya
Zipi hizoMama mchunga acha zako 🤗
Hanang tunaupanda lini🤔Zipi hizo
Comment hapa hapa ili warembo waujue utapeli wako😂😂Hit and run wancomment wapi wakuu
Yapi hayoNa mautamu yangu yote!
Yupi huyo hebu mtaje kwa jinaKwamba na wewe upo single, labda kama upo under 20..kitu ambacho sio!! Na yule babe wako unamkana kweli!
ngoja waje kucomment🤣Comment hapa hapa ili warembo waujue utapeli wako😂😂
Simwagi uji hadharani mkuu!Yupi huyo hebu mtaje kwa jina
Nimeghairi nisije ota vigimbi😅Hanang tunaupanda lini🤔
Simwagi uji hadharani mkuu!
Una miguu ya bia eeeee😊😊Nimeghairi nisije ota vigimbi😅
Nimegoma mkuu! Ila amini tu hakuna mtu single, hayupo😂Mwaga nimekuruhusu
Una miguu ya bia eeeee😊😊
😋😋Zaidi ya bia 🤣🤣🤣