Kwanini Urusi inauza mafuta yake kwa siri?

Kwanini Urusi inauza mafuta yake kwa siri?

Nimekimbia wapi wakati umekwisha jibiwa kuhusu swali langu la ritirement age au hausomi unavyo andikiwa kwenye nyuzi zako ?

Dogo unajitoa ufahamu ?
Ulisema Ile habari ni umbea Wa mitaani. Nilipoweka Link ukakimbia.

Ule uzi haukuhusu mambo ya kustaafu Sasa wewe mambo ya kustaafu umeyatoa wapi?
 
Kwa akili zako za kipuuzi India mafuta anayo nunua Russia yanaweza tenganishwa haya ya matumizi yake haya anapaswa kuwauzia EU anapangiwa na hao hao EU ?
Punguza mihemko.

Kwa nini isiwezekane wakati idadi yake inafahamika?

Halafu haya yanayouzwa India na Urusi yanauzwa kinyemela.
 
Ulisema Ile habari ni umbea Wa mitaani. Nilipoweka Link ukakimbia.

Ule uzi haukuhusu mambo ya kustaafu Sasa wewe mambo ya kustaafu umeyatoa wapi?
Kwa hiyo kwako kitu kikiwa na link basi sio umbea ? Dogo unaakili ndogo sana

Sio kila kijihabari chenye link toka chombo chochote cha habari ni ina mashiko vingine ni udaku.

Ile habari haina mahusiano ya kustaff ? Ila inaongelea habari za outdated age katika kazi China . dogo unajitambua kweli ?
 
Mkuu huwa kweli unafuatilia habari za dunia?
Labda ni Turkey ndiyo inayoisaidia Russia kukwepa vikwazo vya mafuta ilivyowekewa na US na West! Ndiyo inatumika kama hub ya kupitisha mafuta hayo kwa siri.
Lakini anasafirisha Mafuta kwenda India, China, North Korea, Iran, nk nchi ambazo hazibabaishwi na US.
Harafu isitoshe Mkuu nchi za EU ziko hali mbaya mno katika nishati, na ndiyo zinazonufaika na mchezo huo!
 
Punguza mihemko.

Kwa nini isiwezekane wakati idadi yake inafahamika?

Halafu haya yanayouzwa India na Urusi yanauzwa kinyemela.
Wewe ni mjinga biashara ya China na Russia kuhusu mafuta ni Open, biashara ya mafuta kati ya Russia na India ni open.

Wacha nikuongozee maarifa kwa faida ya fuvu lako China ina nunua gas Russia na kuuza EU
 
Kwa hiyo kwako kitu kikiwa na link basi sio umbea ? Dogo unaakili ndogo sana
Ili habari isiwe umbea inatakiwa iweje?
Sio kila kijihabari chenye link toka chombo chochote cha habari ni ina mashiko vingine ni udaku.
Chombo chochote cha habari ndiyo nini??
Ile habari haina mahusiano ya kustaff ? Ila inaongelea habari za outdated age katika kazi China . dogo unajitambua kweli ?
Kustaafu ndiyo kukoje??

Ile habari ilizungumzia watu kukosa ajira kutokana na umri wao kuwa miaka 35 na siyo mambo ya kustaafu.
 
Ili habari isiwe umbea inatakiwa iweje?

Chombo chochote cha habari ndiyo nini??

Kustaafu ndiyo kukoje??

Ile habari ilizungumzia watu kukosa ajira kutokana na umri wao kuwa miaka 35 na siyo mambo ya kustaafu.
Kukosa ajira kwa sababu umri miaka 35 ambao upo kwenye mfumo wa ajira wewe unasema haupo. Unajielewa kweli dogo ?

Kukosa ajira kwa sababu ya umri kuwa outdated inabidi I apply kwa hao wenye age 55, 60 sio hizo taka taka zako za 35 hivi unaielewa 35 age kweli ?
 
Kukosa ajira kwa sababu umri miaka 35 ambao upo kwenye mfumo wa ajira wewe unasema haupo. Unajielewa kweli dogo ?

Kukosa ajira kwa sababu ya umri kuwa outdated inabidi I apply kwa hao wenye age 55, 60 sio hizo taka taka zako za 35 hivi unaielewa 35 age kweli ?
 
Dogo wewe mjinga sana unaokoteza vijihabari vya ajabu mitandaoni.

Mbona inafahamika importers wakubwa wa mafuta ya Russia tokea vita vyake na Ukraine vianze ni India na China na lipo wazi wala sio vificho.
Myukreni wa namtumbo kaja na hamaki.
 
Imegundulika kuwa Urusi inapeleka mafuta yake Bahari Kuu (Deep Sea) na kuyapakia kwenye meli nyingine na mafuta hayo hupelekwa India kuchakatwa.

Kama inauza kwa siri wewe umejuaje?


mleta mada kashasema imegundulika huyoo kiazi mwenzako anauliza amejuaje?
India hanunui mafuta kutoka Urusi Kwa magendo ananunua Kwa uwazi na hao mabeberu wananunua kimagendo kukwepa Sheria walizojiwekea wenyewe mwisho Dola milioni 120 ni Hela ndogo sana hasa Kwa giant wa mafuta kama Urusi nakushauri kakiulize vizuri chanzo chako Cha taarifa ulete upya
 
Miaka ya 1960, lilijengwa bomba la mafuta kutoka Iran kwenda Israel. Baada ya Mapinduzi ya Iran ya miaka ya 70 na Mafuta ya Iran yaliwekewa marufuku (Oil Embargo) na Jimmy Carter, so mafuta yakasimama kwenda Israel. Wanasema nature abhors the vacuum, Mfanyabiashara Marc Rich, aliyekuwa wanted na US na rafiki wa Shah, akashawishi kampuni yake, iliyokuwa registered Uswisi, inunue hayo mafuta na iyasafirishe kwenye hilo bomba la mafuta kwa siri na kuyapeleka israel ambapo alikuwa na connection na MOSAD; kwa sababu, "Borders are political and markets are neutral", Shah na Israel wakakubaliana, na biashara ya mafuta ikaendelea kwa siri kwa miaka mingi.

so, usishangae kusikia hata US inafanya biashara na Korea Kaskazini. Siasa na vita zina mambo mengi sana!
 
Hiyo kazi yako kutafuta
EU na USA hawawezi kulikimbia soko la mataifa ya BRICS 36% ya uchumi wa dunia umeshikiliwa na BRICS

Na BRICS hawawezi kulikimbia soko la EU na USA

Kasome kwenye international trade kuna kitu kinaitwa economic interdependence
 
Hiv mkuu hilo nalo swali? Je huhui black market inavyofanya kaz.yan ulichosema sasa wafanyabiashar ndio wanakipenda
Mnauza kimagendo.inakua na ka ladha fulan hivi kwa aliyepitia biashara.hl so hilo.halikwepek. yatauzwa sana tu
 
Wanunuaji ndio wananunua kwa siri, ila muuzaji hauzi kwa siri kwa sababu sio haramu na ki uhalisia ana mafuta ya kumtosha yeye na kuwauzia wengine pia
 
Ile ya miaka 35 China kukosa kazo ulikimbiana huku pia utakimbia.

Unajua kwamba India mafuta inayonunua Urusi hairuhusiwi kuyauza EU au US.

India inatakiwa kununua mafuta Kwa matumizi yake yenyewe na siyo kuisadia Urusi kuuza mafuta yake kinyemela.
Mafuta ya Urusi hadi Marekanianayanunua tena kwa wingi tangu Urusi iwekewe vikwazo.
 
Urusi imebambwa inauza uchochoroni mafuta inayozalisha.

Imegundulika kuwa Urusi inapeleka mafuta yake Bahari Kuu (Deep Sea) na kuyapakia kwenye meli nyingine na mafuta hayo hupelekwa India kuchakatwa.

Mafuta hayo yakichakatwa hupelekwa Uingereza kuuzwa kwa makampuni yauzayo mafuta ya ndege.

Inakadiriwa kuwa tangu Urusi iwekewe vikwazo imeshajipatia zaidi ya Paundi milioni 120 Kwa njia Hiyo ya uuzaji mafuta kwa magendo.

Kwa nini Urusi isiwauzie mafuta watu wa BRICS badala ya kuhangaika kuuza mafuta yake kimagendo kwa nchi za mabeberu?
Deep sea biashara ya wese kawaida sana wenyew wanaita mnyonyo


Hata ukienda posta ya zaman pale baharin zinapopak meli na boti za uvuv utakuta tenk km tenk nazo zimepak wanasikilizia signo ili zivutwe na boti waende mbelembele huko kwa ajili ya mnyonyo
 
Back
Top Bottom